SILLENT KILLER 2
JF-Expert Member
- Jun 12, 2024
- 414
- 707
Ujue ndugu yang sijaona comment yako kwenye uzi wangu umeniuzi ujue..?
Ujue ndugu yang sijaona comment yako kwenye uzi wangu umeniuzi ujue..?
Ujue ndugu yang sijaona comment yako kwenye uzi wangu umeniuzi ujue..?
Madogo wape financial education acha na mambo ya mizimu.Dogo napeleka sana kule kwa babu zake nyibhuko-mwankenja akajue asili ya kwao😀😀
Tuseme tu kwao songea huko kwa Mababu sijui kana wanaendaga na kutambulika.Wangoni kwao wapi? Tanzania au South Africa
Hapana, nimeona familia wakipigwa vizazi kadhaa kwasababu ya hii issue. Ipo ambayo waliuza hadi makaburi wakahama mkoa kabisa. Kwasasa wamerudi Mwanza maeneo yale yale wanatafuta ardhi na kuongea na wale walionunua wahamishe makaburi. It's serious! Kuna makosa yakitokeaLaana ni myth tu
Mimi kuna familia wamenisimulia huu mkasa na makosa ya kuuza ardhi ya ukoo hadi makaburi alifanya baba yao na kaka zake. Sasa watoto wameungana kujaribu kuyanunua upya au jirani na pale. Hiyo familia imekuwa na vifo visivyoeleweka. Imechukua muda mrefu kujua source ya mparangsnyiko wa familia na ulianza na baba zao wote!Ni ukweli Mtupu....Hili nimelishuhudia kwa macho Yangu...