vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 2,668
- 5,278
Kama ulimkopesha mtu pesa iwe kubwa au ndogo usiende kutaka dai lako kama wewe hauna pesa mfukoni
Unapoenda kudai pesa yako huku wewe ukiwa hauna pesa mwisho siku hauwezi kuwa mzuri. Unaweza kushindwa kujizuia mkaingia kwenye mgogoro mkubwa
Na usikopeshe pesa hovyo mkopeshe mtu
Aliyefiwa
Anayeuguliwa
Mwenye njaa/aliyekosa chakula
Anayehitaji dhamana polisi
Unapoenda kudai pesa yako huku wewe ukiwa hauna pesa mwisho siku hauwezi kuwa mzuri. Unaweza kushindwa kujizuia mkaingia kwenye mgogoro mkubwa
Na usikopeshe pesa hovyo mkopeshe mtu
Aliyefiwa
Anayeuguliwa
Mwenye njaa/aliyekosa chakula
Anayehitaji dhamana polisi