Usidanganywe ewe Muislamu

Status
Not open for further replies.
Upupu mtupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
WALIO JUA SIRI HII WAMEWEKA TUMAINI LAO KWA MUNGU NA UJIO WA YESU KWA MARA YA PILI.
Nilitaka nishangae. Hivi mkristo usie jua hakika ya kitabu chako, inakuwaje unaanza kuuzungumzia Uislamu ? Ndio maana umeosea sana.
 

Acha uongo mbele ya watu wazima

YESU na uislamu wapi na wapi ?

Musa ,daudi na uislamu. Wapi na wapi ?


Unataka kudanganya watu wazima na akili zao?
Ukisoma Quran hizo ndio hadith zilizomo kwenye hicho kitabu..

Ukweli kuna miujiza fulani aliyoifanya Yesu haikutajwa kwenye Biblia lakini imeetajwa kwenye Quran

Biblia inamweleza Yesu akiwa mtu mzima,keshapata utume, haimwelezei alipokuwa mdogo..

Mfano, Yesu alipokuwa ana miaka kumi na mbili alikuwa akicheza na watoto wenzake alikifanya kinyago cha udongo kikageuka NJIWA, Njiwa akaruka kwa keleke, hamna Kisa hichi kwenye Biblia

Kama unajua kusoma Kingereza, habari hiyo hapo chini..

 
Nilitaka nishangae. Hivi mkristo usie jua hakika ya kitabu chako, inakuwaje unaanza kuuzungumzia Uislamu ? Ndio maana umeosea sana.
Wewe sio wakujibiwa maana hujui kuwa hujui
 
ISA WA QURAN KAZALIWA CHINI YA MTENDE WAKATI YESU WA KWENYE BIBLIA KAZALIWA KWENYE ZIZI LA NG'OMBE

TOFAUTI KUMI (10) KATI YA ISA WA KWENYE QURAN NA YESU WA KWENYE BIBLIA.

Taarifa za Malaika kabla ya kuzaliwa kwao, kadiri ya Qurani na Biblia.

Jibrili alivyomtokea Mama wa Isa == Gabrieli alivyomtokea mama wa Yesu:

A. MARYAM ALIKUWA MSIKITINI vs. MARIAM ALIKUWA NYUMBANI KWAKE:
1. WAISLAM-JIBRIL Alienda kwa Mariamu aliyekuwa Msikitini Qurani 19:16-17

2. WAKRISTO-GABRIEL Alienda kwa Mariamu aliyekuwa nyumbani kwake - Lk 1:26-28

B. MARYAM HAJULIKANI ANAISHI WAPI vs MARIAM ANAYE ISHI NAZARETI:
1. WAISLAM-Mariamu Mama wa Isa haijulikani aliishi kijiji kipi wala mji gani wala hata nchi haijulikani. Isitoshe Quran inasema kuwa Jibril ndiye aliyemletea utume Muhammad asiwapelekee Mayahudi (hana kosa) Sura 2:97

2. WAKRISTO-Lakini Mariamu Mama yake Yesu alitokewa na Malaika Gabriel akiwa katika kijiji cha Nazareti mji wa Galilaya nchi ya Israeli (Lk 1:26) Mariamu Mama wa Yesu ni Myahudi.

C. JIBRIL HAKUMSALIMIA MARYAM vs GABRIEL ALIYE MSAMILIA MARIAM:
1. WAISLAM-Jibrili hakutoa salamu kwa Mariamu mama wa Isa ila alijimithilisha kwa umbo la binadamu aliye kamili - Sura 19-17

2. WAKRISTO-Malaika Gabrieli alimsalimia Mariamu Mama wa Yesu – Luka 1:28

D. JIBRIL ALISEMA YEYE NDIE ANATOA MTOTO vs . GABRIEL ALIYE SEMA KUWA MARIAM ATACHUKUA MIMBA:
1. WAISLAM-Jibril alimwambia Mariamu kwamba mimi ni mjumbe wa mola wako ili nikupe mwana mtakatifu - Sura 19-19

2. WAKRISTO-Lakini malaika Gabrieli alimwambia mama wa Yesu kuwa utachukua mimba – Luka1: 31

E. JIBRIL HAKULIJUA JINA LA MTOTO vs. GABRIEL ALIYE SEMA KUWA MTOTO ATAITWA YESU:
1. WAISLAM-Jibrili alisema kwa Mariamu kuwa ili tumfanye mtoto muujiza kwa wanadamu – Sura 19: 21. Isitoshe Jibrili hakutaja jina la mwana kwa Mariamu. Bali alisema ili nikupe mwana mtakatifu.

2. WAKRISTO-Malaika Gabrieli alisema kwa Mariamu mama ya Yesu kuwa mtoto jina lake utamwita Yesu (Luka 1:31; 2:21) Gabrieli hakusema kuwa atampa mwana Mariamu. Bali alisema, Roho mtakatifu atakujilia juu yako, yaani motto atazaliwa kwa uwezo wa Mungu.

TOFAUTI YA KUZALIWA KWA ISA NA YESU
Isa bin Mariam vs. Yesu Kristo

F. ISA KAZALIWA CHINI YA MTENDE vs YESU KAZALIWA KWENYE HORI LA NG'OMBE:
1. WAISLAM-Isa alizaliwa katika shina la Mtende –Quran 19:23

2. WAKRISTO-Yesu kazaliwa katika hori la kulishia ng’ombe. Luka 2:7

G. MIMBA YA ISA HAIJULIKANI ILKUWA YA MUDA GANI vs. YESU ALIYE ZALIWA KWA SIKU ZAKE ZILIPO KAMILIKA:
1. WAISLAM-Kuzaliwa kwa Isa haijulikani mimba ya mama yake ilichukua muda gani maana malaika Jibrili alisema nikupe mwana mtakatifu mara akachukua mimba na kuzaa. (19: 22-23)

2. WAKRISTO-Lakini Mariamu Mama wa Yesu siku zake za kuzaa zilitimia. (Luka 2:6-7)

H. ISA HAKUTABIRIWA KWENYE QURAN vs. YESU ALITABIRIWA KWENYE BIBLIA:
1. WAISLAM-Qurani haionyeshi kama Isa alitabiriwa na manabii kuwa atazaliwa

2. WAKRISTO-Lakini Biblia inatuthibitishia kuwa Manabii walitabiri kuzaliwa kwa Yesu, (Isaya 7: 14; 9:6) utabiri huu ulitolewa na Nabii Isaya miaka 750 kabla ya Yesu kuja kuzaliwa nao ulitimia (Mathayo 1:18-23)

I. ISA HAJULIKANI ALIZALIWA WAPI AU KIJIJI KIPI vs. YESU ALIYE ZALIWA BETHLEHEM:
1. WAISLAM-Isa haijulikani alizaliwa katika kijiji gani wala mji, wala nchi aliyozaliwa Qurani haikueleza.

2. WAKRISTO-Biblia inatujulisha kuwa Yesu alizaliwa Bethelehemu ya Uyahudi katika Mji wa Daudi umbali wa maili 5 toka kusini mwa Yerusalemu nchi ya Israeli (Lk 2:8-16). Kuzaliwa kwake mahali hapo pia ni kutimiza unabii uliotolewa na nabii Mika miaka 750-686 kabla ya kristo kuja wakati wa wafalme hawa wakitawala – Jotham, Ahaz na Hezekia wafalme wa Yuda. Yesu mwenyewe alizaliwa kama mwaka wa 4 wakati wa Mfalme Herode.

J. ISA ALIONGEA AKIWA MTOTO MCHANGA vs. YESU HAKUONGEA AKIWA MTOTO MCHANGA:
1. WAISLAM-Isa aliongea na watu akiwa mototo mchanga, na kusema kuwa yeye ni mja wa Mungu amepewa kitabu na amefanywa Nabii (Sura 19:30-33)

2. WAKRISTO-Yesu hakuongea na mtu akiwa mtoto mchanga. Alianza kuwauliza maswali na kutoa majibu akiwa na wazee Hekaluni akiwa na miaka 12. (Luka 2: 42-49)

Hivyo tunaona kwamba tuna tofauti nyingi tu kati ya Bwana Yesu na Isa.
 
UISLAMU na MUISLAMU ni vituviwili tofauti muislamu anaweza akawa wema mwajuma rukia. Ally .abdallah nk na wakafanya maasi kuzini kula nguruwe kutokusali kunnywa pombe nk lakini yote hayo uislamu haukumtuma afanye hayo na ataadhibiwa kwa matendo yake. Uislamu una sheria zake na kanuni zake zilizoteremshwa kutoka mbinguni na umekamilika nikizifuata mimi ni muislamu na kama nikizipinga mimi sio muislamu hata kama naitwa mohamed au jamila
Hawahawa kina wema sepetu na kina amber rutty?Sawa,kawadanganye na wadogo zako wa la tatu B kishamapanda shule ya msingi.
Mimi nina madem watatu wa kiislam nawabandua kama ugali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kafiri ni yule asieamini Mungu,..

kama unaamini Yesu ni Mungu basi wewe ni Mshirikina sio KAFIRI

Yesu ni mmoja wa Mitume takatifu kwenye Uislam, Waislamu wanaruhusiwa kushirikiana na "Ahlil kitab"(watu wa vitabu)

Ahlil kitabu ni Wayahudi na Manasara, Manasara ni wale wanao fata Injili ya Isa aka Yesu..

Note:Biblia sio Injili., INJILI ni mahubiri ya Yesu, BIBLIA ni mkusanyiko wa vitabu 40 vilivyoandikwa na watu tafauti akiwemo Paulo..

Don't get confused son,that the way it is..
 
Mbona yote nimeeleza ,

Inaonesha hujasoma Mada ukaielewa ,umekurupuka

Hoja ni Waislamu kudanganywa kuwa Wazungu wapo kuufuta uislamu

Mnasahau Wazungu wana shida na rasilimali na sio Hiyo dini

Maana hata Saudi Arabia anawatandika Yemen


Saudia ambao mnawaona ni Waislamu ni vibaraka wazuri wa Marekani

Home › news › midd...
Web results
Msemaji wa Ansarullah ya Yemen: UAE ni kibaraka wa Marekani - Pars Today
 
Sijasoma yote sijui hizi habari umezi download mitandao gani.

Maryam alikuwa mwanamke wa KIYAHUDI, Huko Misikitini kenda kufanya nini?

JIBRILI ni neno la Kiarabu, GABRIEL ni neno la KIZUNGU..

Jiongeze kidogo tumia akili yako, Saul na Paul ni mtu mmoja

Saul ni KIYAHUDI, Paul ni kirumi..
 
Hujaelezea hata moja hapo.
 
Acha uongo Yesu hakuwa muislam, uislam umekuja baada ya miaka 550 baada ya Yesu. Dini ya Yesu ni Judaism na ndio hiyo ya akina Musa, Daudi, Ibrahim, Isaka na wengine wengi unaowafahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poa Yesu na Isa ni watu wawili Tafauti.. Je Yesu na Jesus ni mto mmoja? Je Yesu na Iso ni watu wawili tafauti, Je Yesu na Joshua ni mtu mmoja..

Biblia ni hadith zilizoandikwa na watu zaidi ya 40,wasiojulikana,Matthew hakuandika Biblia ya Matthew, Mark ni hivyo hivyo..

Hivyo vitabu vinajipinga wenyewe, Biblia inayofatwa na RC ina vitabu 70,inayofatwa na King James ina vitabu 67..

Mparagangiko..
 

Hapa patamu kweli kweli. Tuanze moja moja, ya Kwanza tumalize kisha tuhamie nyingine...

Aya za Qur'an ulizozitaja 19: 16-17 hizi hapa...

Qur'an 19:

16. Na mtaje Maryamu katika Kitabu, pale alipo jitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki. 16


17. Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu. 17


Haya tuoneshe ni wapi hapo msikiti umetajwa kama ulivyozuwa?

Ukishindwa kuonesha kiri kuwa umedanganya kabla sijaendelea kuuchambua zaidi uongo wako.

Nasubiri.
 
Hujaelezea hata moja hapo.

nikazie maeneo

1)Mmarekani na Msaudi ni washikaji,atleast for now,kwani Mmarekani Hana rafiki wa kudumu,urafiki wa wawili hawa uko wazi, Moja ya sababu kati ya nyingi ya kumpiga huyu kamanda wa Iran, Trump alisema ni kwa faida ya marafiki zake(interest of his allies),hakuwataja ila ni wazi Israeli na Saudi wamo, angalia pia Trump alivyomkingia kifua prince wa Saudi ktk sakata la mwandishi aliyeuawa ubalozini.

2) dhana nyingine potofu ni kuitazama Marekani Kama ukristo au ipo kwa ajili ya interest za ukristo, miaka ya hivi karibuni Uhuru wa kuabudu wa Wakristo umeminywa Sana ndani ya taifa la marekani mpaka Moja ya sera ya Trump ktk uchaguzi ilikuwa kuwapa Tena Uhuru/nguvu makanisa/wakristo..Wakristo hawakuweza kulitaja jina la Yesu ktk public gathering,eg mashuleni etc,ilichukuliwa Kama kosa/kuleta udini.

3) ukiona Mmarekani anakuza ushoga,ujue huo sio ukristo, na si ajabu ukianza kuhesabu Maraisi wakristo kiukweli kweli waliowahi kutawala Marekani,idadi inaweza kuwa ndogo Sana.
 
Acha uongo Yesu hakuwa muislam, uislam umekuja baada ya miaka 550 baada ya Yesu. Dini ya Yesu ni Judaism na ndio hiyo ya akina Musa, Daudi, Ibrahim, Isaka na wengine wengi unaowafahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza unajua nini maana ya neno ISLAM?
Pili hamna hata sehemu moja nilipoandika Kuwa Yesu alikuwa Muislam..

Bila shaka Yesu alikuwa Muislam kama utakuwa unajua nini Maana ya Neno ISLAM..

Lakini huo ni mjadala mengine, let us stick to the point..,usitutoe nje ya mada
 
Shida moja ya waislam
1--Kwenye Urafiki ,sio watu wa kuwaamin Sanaa, wana badilika fastaa ,ni wasali


Ivi mada inazungumzia nn??
 
Inaonesha wewe ni mkurupukaji

Weka fafanuzi hapa ya hiyo Aya ,uone upande wa Mashariki ni wapi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…