Hapa tena unamalizia kwa kusema dini hiyo ipo ila ni wafuasi wake wa pauloHakuna dini inayoitwa "Ukristo"
Kwahiyo hiyo dini ipo au haipo?Wewe kama ni Mkristo basi ni mfuasi wa Paulo sio Yesu, kwani Paulo ndie alianzisha hiyo dini..
Asante mkuu. Pengine sheikh Farsy alikosea, kama ilivyo ada ya mwanadamu. Sasa chukua ya sheikh Ali Muhsin " na shika sala katika ncha mbili za mchana na NYAKATI ZA USIKU zilizo karibu na mchana. Hakika mema huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanaokumbuka". Bado ni sala tano. Na mkuu hii huwa haisemwi tu. Ni maelekezo ya Mtume wao.Ngoja nikupe darsa la darsa lako
Huyo mtafsiri wa kiswahili alikosea na Hilo neno apo wa-zulafan ilitakiwa iwe na katika wakati sio katika nyakati..
Ndomana translations za kiingereza sahih inasema and at the approach of night
Haijasema at the approaches of the night.
Au unaweza kusema at the first part of the night au early hours of the night bado haibadili maana....sio early PARTS of the night hapo inabadili maana
Kwahiyo hapo salat ya usiku ni moja tu na sio nyingi kama Zinavotungwa..
Swala tatu ni hizi tu
1- Salat Al-Fajr 24:58
2- Al-Salat Al-Wusta 2:238
3- Salat Al-Isha 24:58
View attachment 1352057
Mkuu kwani sheikh muhsin sio binadam??Asante mkuu. Pengine sheikh Farsy alikosea, kama ilivyo ada ya mwanadamu. Sasa chukua ya sheikh Ali Muhsin " na shika sala katika ncha mbili za mchana na NYAKATI ZA USIKU zilizo karibu na mchana. Hakika mema huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanaokumbuka". Bado ni sala tano. Na mkuu hii huwa haisemwi tu. Ni maelekezo ya Mtume wao.
Kwani aliyepanga serikali isiwe na dini ni mkristo au muislam?
Sasa ikishakuja mahakama ya kadhi hapo serikali imeanza kuwa na udini (mahakama ni nguzo ya serikali)
Halafu mbona kuna waislam wengi tu waliipinga hiyo mahakama,,nakuhakikishia hata hapa tz wakisema waislam tu wapige kura hiyo mahakama inaweza isipite kwasababu wengi ni wazinzi na wala ngurue na wanatamani uhuru wa kuchagua maisha,hawapendi kuwa watumwa wa dini (mfano sheria kuwa ukiacha dini sharti uuwawe)...wewe huoni watu wanakimbia saudia arabia kwenda kuishi marekani kwa amani.
Nje ya mada lakini eti swali!!!
Kwamfano mkristo akizini na mwanamke wa kiislam wakadakwa,,According to hiyo mahakama ya kadhi adhabu itakuwaje?
Kwa Nini nchi za kiislanu wanakitwangana iwe Libya au nchi za kiarabu za Iraq ,Syria nk kwa Nini waislamu wakimbizi wanapenda kukimbilia nchi za ulaya za Wala kitimoto hawakimbilii Nchi za kiislanu za uarabuni Kama wanapendana waislamu?Acha uongo wewe. Hata ukisikia unaelewa Kiarabu wewe?
Hahah wew ni comedian
Kuna fitna gan hapaHuu uzi na mleta uzi ni watu wanaotumika kuleta fitna.
Nawaomba Moderator mziangalie vizuri sana hizi nyuzi.
Hawa USA wanataka kuanzisha au wameshaanzisha chokochoko za kutuchafua Tanzania?
Ukiitazama hii habari, ukiitazama habari ya aliyechana Qur'an, ukija kusoma nyuzi kama hii za.huyu anayejiita Mcqueenen hapa JF.
Ukifikiri ya Makonda kunyimwa visa, ukifikiri ya Watanzania kuondolewa kwenye bahati nasibu ya green card, ukifikiri ya World Bank, ukifikiri ya msaada wa silaha kutoka USA, ukifikiri ya Tanzania kutangazwa siyo salama sana kwa utalii.
Kwa yote hayo unaweza kuunganisha dots na kukuta tayari jungu limeshapikwa na linangoja kupakuliwa tu.
Allah tulinde na wenye kutia wasiwasi kwenye nyoyo za watu. Allah tuepushe na shari na hassad zote, tunazoziona na tusizoziona.
Haya si madogo kwa kiwango chochote kile, inabidi serikali, wasio na dini na wenye dini, tuwe macho na kuwa na subira na tusifanye pupa kwa hizi fitna zinazoendelea.
Tusikubali kuchonganishwa.
Kwani Wakristo wanaupenda UISLAMU ?Ila kiukweli kabisa waislam wanachuki sana na ukristo. Sijui ni kwa nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni fitna na umejaa chuki. Ukiwa na wewe mpenda fitna na mwenye chuki hautoweza kuliona hilo.Kuna fitna gan hapa
Huu uzi una shida gani ?
Kusema kwamba msidanganyike kuhusu propaganda mnazoambiwa kila siku imekuwa fitna?
Tatizo hamtaki kuambiwa ukweliNi fitna na umejaa chuki. Ukiwa na wewe mpenda fitna na mwenye chuki hautoweza kuliona hilo.
Uliza ki heshima. Au ndiyo heshima uliyofundishwa kwenu hiyo?Kwa Nini nchi za kiislanu wanakotwangana iwe Libya au nchi za kiarabu za Iraq ,Syria nk kwa Nini waislamu wakimbizi wanapenda kukimbilia nchi za ulaya za Wala kitimoto hawakimbilii Nchi za kiislanu za uarabuni Kama wanapendana waislamu?
Hata wapemba 2011 walipovurumushwa Pemba na risasi walikimbilia kwa Wala kitimoto uingereza na canada
Kwa Nini waislamu kukitokea tatizo nchi zao za kiislamu wanapenda kutimukia kwa wakristo Wala kitimoto na sio kwa waislamu wenzao?
Usipotoshe uma,waislam wanasubira Sana kuliko dini yoyote ile,nikuulize ulishawahi kuona au kusikia muislamu kakojolea Bible au kaichana hapa Tanzania?Lakini wakristo wamekuwa wakikejeli Quran kila uchao,sasa niambie ni Nani mwenye chuki dhidi ya mwenzie!?Ila kiukweli kabisa waislam wanachuki sana na ukristo. Sijui ni kwa nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
....Dini ya kikirsto ni dini ya kuwatia vidole wanawake.View attachment 1352143
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni ule ambao hata Aya ya Qur'an iliyowekwa post namba ni ya kujitungia na kumzuwia, haipo kwenye Qur'an, huo ndiyo ukweli?Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli
Mnataka kujifungia ndani ya boks
Siku ukitoka ndani ya boksi liitwalo UDINI unaweza uka uchallange uislamu ,
Umepiga porojo ndefu lakini umesahau kuwa Muislam ndugu yake ni Muislam.
Waislam ni kama kiwiliwili kimoja, ukikiumiza kidole mwili nzima utapata homa.
Huwezi leo ukanambia Myahudi anagombea ardhi na Muislam mwenzangu halafu anauw watoto, wazee, bila hesabu halafu mimi nisiumie huku nilipo.
Au midege na manowari za kivita za Marekani zinawaua Waislam wenzangu huko Iraq na Syria halafu mimi nisiumie huku?
Upuuzi huo.
Si kweli.
Muislam hana sababu ya kumchukia yeyote yule.
Kwenda mpumbavu wewe,ajira munapeana kwa ukristo,teuzi za nyadhifa za juu munapeana kwa ukristo halafu unachora watu,munatengenza kundi lisilo na chakupoteza,mutavuna chuki,dhulma na ukandamizaji wenu.