Head current
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 479
- 128
Ktk kufanya usafi ndani ya ndege, jamaa akaokota kitabu kilichoandikwa jinsi ya kuendesha ndege akasoma 'kuwasha ndege bofya kitufe chekundu akabofya ikawaka', bofya bofya cha bluu ili itembee, akabofya ikatemba, bofya cha njano kupaa,akabofya ikapaa! akasema nilidhani hadi kusomea chuo miaka 10 kumbe kuendesha ndege ni rahisi tu? akiwa angani alipofunua ukurasa wa mwisho ukasomeka,kwa maelezo zaidi jinsi ya kutua fika chuoni kwetu' unahisi nini kilitokea?????????????t