hahaaaaaaaaaaaa u made ma day boyIVI KUNA WATU WANAFANYA YAFUATAYO.
1. WANAOMBA MUNGU KABLA YA KUMEGA TUNDA NA WAKIMALIZA WANAMSHUKURU PIA.
2. WANATUNZA RECORD KILA WAKIKUTANA KIASI KWAMBA WANAWEZA KUJUA TOKA WAANZE WAMENANIHI MARA NGAPI
3. KILA MMOJA ANAMSHUKURU MWENZAKE NA KUMPOMNGEZA KWA KAZI NZURI BAADA YA KUNANIHII.
NAAMINI KAMA YUPO HUYO MTU BASI ANITAFUTE NIMPE BANZOKA ZAKE.
Kuna watu hata hawawakumbuki walio-do nao!!!
mie namuomba na kumshukuru M/mungu kabla na baada ya kubanduana tu. Nalog off
Nimepaona hapo. Nalog offMzee wa kulog off una terminology kali! (Angalia hapo juu kwenye red)