We nyauba
Nusratt mbona unateseka sana ?π
Vitu vibaya ila si vya kwangu , lakini ngoja nikimaliza chuo nitabadiliπ€£π
LAKINI HAPANA
Kwanini ni badili ?π₯Ί
Nakuwa namuogopa nani ??
Sina mke wa watoto , kwanin nile anasa??
Vikiwa vichafu hivi si ndo vinatengezeza vitoweo???
Mimi ni Mmakonde panya muhimu kuwepo ndani.ππ