Hujui wajibu wako na wewe ni frame tu ndio maana imekuumaUmekutana na fremu za plastiki..halafu kweli kuanzia mama yako, dadaz, shangazi na ndugu zako wa kike wote ni mafremu???!!
Mwanaume kama wewe ni kazi sana, eti uburidishwe na kustareheshwa na mwanamke!
Hujui wajibu wako na wewe ni frame tu ndio maana imekuuma
Jamani dunia inakwenda siko siku hizi na wanawake wamekuwa ni bure kabisa, hawawezi kuwafurahisha wanaume ndani ya ndoa, wengi wao wamekuwa magoigoi kwa kuwa hawezi kukatika wala kucheza ngoma zao za asili. Siku hizi wanawake wengi wanajiingiza katika masuala ya kuutaka uzungu na kuzikimbia asili za kwao.
Unaweza kumuona mwanamke mzuri wa umbele kumbe hana lolote, hajafundwa na mila za kwao, wengi wamefundwa katika Kitchen Party hizi za wajanja wa mjini ambazo hata hao wanaoziongoza wameshindwa kabisa kutunza ndoa zao. Wanasema Kitchen Party ziko kwa ajili ya kukusanya vyombo tu.
Zamani ukikutana na mwanamke kutoka Tanga, Tabora, Mwanza, Uzaramoni, Mtwara, Kigoma na kwingineko kasoro Moshi tu alikuwa akijua kukitumia kitanda bwana, mwanaume ulikuwa ukiridhika.... siku hizi hata chachandu hawavai eti wanavaa cheni za dhahabu. Wamebaki fremu tupu za uzuri lakini hawana kitu, umeshaziona zile fenicha zinazotoka nje ya nchi, basi uzuri wake ni bure kabisaaa, ni sawa na wanawake wa leo, ukimpa bia zako ukiiingia naye chumbani hupati starehe unayoitarajia ndiyo maana wanakimbilia kutoa tigo. unajuta hata kwanini ulimtongoza.
Jamani wanawake hebu rudini kule vijijini mkafunzwe na Makungwi kama bado wapo..... maaana hii ni sababu kubwa ya kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa sababu wanawake wengi wanalala kama magogo.
Mtu akiona paja tu kamaliza
huko kukatikiwa ni wakati gani sasa?
ukiona mwanamke hakatiki ujue huyo mwanaume kiwango chake ni cha chekechea, ukimpatia mwanamke mwenyewe utashangaa.
Jamani dunia inakwenda siko siku hizi na wanawake wamekuwa ni bure kabisa, hawawezi kuwafurahisha wanaume ndani ya ndoa, wengi wao wamekuwa magoigoi kwa kuwa hawezi kukatika wala kucheza ngoma zao za asili. Siku hizi wanawake wengi wanajiingiza katika masuala ya kuutaka uzungu na kuzikimbia asili za kwao.
Unaweza kumuona mwanamke mzuri wa umbele kumbe hana lolote, hajafundwa na mila za kwao, wengi wamefundwa katika Kitchen Party hizi za wajanja wa mjini ambazo hata hao wanaoziongoza wameshindwa kabisa kutunza ndoa zao. Wanasema Kitchen Party ziko kwa ajili ya kukusanya vyombo tu.
Zamani ukikutana na mwanamke kutoka Tanga, Tabora, Mwanza, Uzaramoni, Mtwara, Kigoma na kwingineko kasoro Moshi tu alikuwa akijua kukitumia kitanda bwana, mwanaume ulikuwa ukiridhika.... siku hizi hata chachandu hawavai eti wanavaa cheni za dhahabu. Wamebaki fremu tupu za uzuri lakini hawana kitu, umeshaziona zile fenicha zinazotoka nje ya nchi, basi uzuri wake ni bure kabisaaa, ni sawa na wanawake wa leo, ukimpa bia zako ukiiingia naye chumbani hupati starehe unayoitarajia ndiyo maana wanakimbilia kutoa tigo. unajuta hata kwanini ulimtongoza.
Jamani wanawake hebu rudini kule vijijini mkafunzwe na Makungwi kama bado wapo..... maaana hii ni sababu kubwa ya kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa sababu wanawake wengi wanalala kama magogo.
yaap, ni kweli brother wanawake wanachojua ni kwamba eti sisi tunatakiwa tushughulike kwa sababu ndio tunaotaka kuridhika tu, wakati sio kweli kabisa.mabinti wote frem tu ukimvua unajuta ni ya nini ulijisumbua.