Kama ni kweli hii itakuwa balaa!!
Hizo ndio double taxation zenyewe....unailipa serikali, na serikali hiyohiyo inakutoza gharama kwa kwenda kulipa kupitia Bank.
Mhhhh ngoja nikaangalie bs maanake huwa nalipa direct.
Isije kuwa umekatwa makato ya bank (bank charges)