Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Kwa muda mrefu kabla ya kujiunga na jf nilikuwa napreview topic tofauti na kuangalia hoja zinavyo kwenda. Huku nami nikipata hoja iliyotokana na topic tofauti ambazo title zake halisi sizikumbuki tena. Kutokana na hizo nikajaribu kutunga makala ambayo kwa kiasi fulani nilifanikiwa. Hiyo ilikuwa ni ya mwanzo, then baada ya kujiona naweza, niliandika nyingine nyingi.
Naweza kuiweka makala hiyo hapa kama mtaihitaji na pia nitawaonyesha vitu nilivyodokoa kupitia humu
Naweza kuiweka makala hiyo hapa kama mtaihitaji na pia nitawaonyesha vitu nilivyodokoa kupitia humu