Ushuhuda wa kweli wa kilichonipata

Ushuhuda wa kweli wa kilichonipata

Ujumbe upo hapo tu kwamba duniani kuna nguvu hasi na chanya na itategemea mtoaji na mpokeaji dhamira yake ni nini

Afu mambo sijui ya kurogwa /kurogana inategemea mambo mengi na hasa imani ya muhusika ,mazingira na uwezo wake wa ufahamu lkn kuna 'case' nyingi ni akili zetu tu zinavyopokea mambo na kutucheza shere

Binaadam tuna safari ndefu kuelekea kwenye 'ufahamu wa juu' Enlightment
 
Ndiyo salama pekee tuliyonayo
Mkuu mfungo wa Siku 40 umeanza pale kimara korogwe... VITA VYA KIROHO KTK ULIMWENGU WA KIROHO.

Ufahamu wako ktk vita vya kiroho kwenye ulimwengu wa kiroho.

watu wngi wanapambana vita vya koroho kwa nje.. isivyo halali

Na ndiyo mana leo kuna kundi kubwa la waombaji waliochoka wamekata tamaa coz hakuna matokeo ya kile wanachokiomba.. wamechakaa..

Hujachelewa najua si mara yako ya kwanza kufika pale

Leo Tupo siku ya 6 kati ya 40.. karibu sana
 
Back
Top Bottom