Lini waja twende Kontena?Wataalam wa limbwata utawajua tu, yaaani hujaumizwa kwa ishu ya sir8 umeumizwa na kukusema wewe na yule Mkurya wako hapa jukwaani.
Naloli nkamuNdaga po ujobhile ukyala akutule
Ndaga gwa kajaNaloli nkamu
Kesho ni Jumamosi, tutaenda. Nimemisss sana zile show za kibabe za KITIMOTOZZZZLini waja twende Kontena?
Au mpaka usikie panavunjwa?