Ushuhuda: Nimedhulumiwa na kampuni ya Sunranch

Ushuhuda: Nimedhulumiwa na kampuni ya Sunranch

Huwa Niko makini comred..,haya yote yalitokea kwa sababu nilipewa ushuhuda na dada yangu wa damu hambaye tunaheshimiana sana..,na dada yangu alikuwa miongoni mwa watu wa mwanzoni kabisa,unaambiwa hizi kampuni za kitapeli wa mwanzoni ndio Huwa wanafaidi Ili wapate kuwavuta wengine!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hauko makini wewe kichwa maji ni nani amekuambia umuamini mwanamke hujui kama wanawake hawatumii akili zaidi ya hisia nenda kwa waganga wanawake ni wengi kuliko wanaume nenda kwa wachungaji feki pia wanawake ni rahisi kuwadanganya kuliko wanaume baada ya wewe kumkomboa dada ako eti ndo anakushawishi uibiwe.
 
Hata Babu wa LOLIONDO alikuwa ni Scam. Kuna cha kujifunza hapa.
 
lakini kilichotokea mpaka muda huu, naomba mwenye ushuhuda aongezee[emoji24][emoji24][emoji24]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole sana kwenye ile post yako nilikwambia ukiona unaitiwa fursa basi huyo fursa ni wewe!

Wewe mshukuru Manani anua tanga maisha yasonge! Na huna haja ya kumlaumu dadaako kwakuwa naye alishawishiwa na mtu aliyemuamini sana na huenda naye kabamizwa ila hawezi kukuambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe alipewa ushauri na bado akakaza shingo [emoji3][emoji3]
 
tatizo ni kupenda mtelezo, pesa haipatikani kirahisi hivyo ni lazima uifanyie kazi.
 
Mimi pesa pekee nnayoweza nikaitoa kwenye kamari ni kupitia betting tu huko kwingine hamnipati
 
Huwa Niko makini comred, haya yote yalitokea kwa sababu nilipewa ushuhuda na dada yangu wa damu hambaye tunaheshimiana sana, na dada yangu alikuwa miongoni mwa watu wa mwanzoni kabisa,unaambiwa hizi kampuni za kitapeli wa mwanzoni ndio Huwa wanafaidi Ili wapate kuwavuta wengine!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Ulikuja humu watu wakakukatalia usijiunge, saizi umepigwa unakuja kulia humu, nenda kalie kwa dada ako sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyoka labla wameisha, ngoja tusubirie kenge na mamba. Pole sana mkuu.
 
haya mambo ndio yanafanya Madelu na bi arafa waongeze tozo,nyie mapuuzi mnafanya wote tuonekane tuna hela za hovyo hovyo tu.

yaani unapewa fulsa ya kununua mnyama unanunua wa elfu 35!!!si ungenunua anakonda kwa milioni??? leo hii ungekuwa umeshapiga 10mln.
 
Ulipokuja kuuliza hapa mimi nilijua ushaingia ngoma za wahuni na huwezi toka hapa ulikuja kutangaza hiyo kampuni na wajinga wengine wanunue nyoka kama wewe nilikaa kwa kusubiri mrejesho uzuri umekuja mapema nimepata majibu sahihi na nilichofikiri...
 
Sasa Boss ulikuja hapa wadau wakashauri achana nao hao matapeli lakini hukuwasikiza wadau .. sasa unarudi kubwa umetapeliwa
 
Back
Top Bottom