Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 17,572
- 27,395
Unanunua Nyoka ili iweje ?
Hata ukipata wewe haimaanishi kitu sio Utapeli; kuna mambo hayapo sustainable and they neither make economic or logical sense....;
That said mimi naweza kuja leo kama mkulima ninafuga nikatafuta investors ili msaidie kwa fedha mimi niwekeze nguvu (ila sio kwa hio return ya 10K unless huyo mnyama bei yake ni kubwa au within a year anatoa kitu fulani kikubwa) 10,000/= x 365 = 3,650,000/= (hata kama hilo linawezekana ila sio kwa idadi ya watu ambayo ni infinity...; Hata kama kuna soko la huyo mnyama la wanyama 100,000 kwa mwaka vipi wakijiunga watu 200,000 ? Huoni hapo business itakuwa saturated ?!!!
Lakini ukienda deep biashara nyingi sasa hivi duniani ni Deci / Ponzi na Speculations without anything being produced...; Hata Mabenki yenyewe ni mwendo wa kukopesha pesa ambazo hazipo (Creating Money from Nothing);....., That is the world we live in....
Hata ukipata wewe haimaanishi kitu sio Utapeli; kuna mambo hayapo sustainable and they neither make economic or logical sense....;
That said mimi naweza kuja leo kama mkulima ninafuga nikatafuta investors ili msaidie kwa fedha mimi niwekeze nguvu (ila sio kwa hio return ya 10K unless huyo mnyama bei yake ni kubwa au within a year anatoa kitu fulani kikubwa) 10,000/= x 365 = 3,650,000/= (hata kama hilo linawezekana ila sio kwa idadi ya watu ambayo ni infinity...; Hata kama kuna soko la huyo mnyama la wanyama 100,000 kwa mwaka vipi wakijiunga watu 200,000 ? Huoni hapo business itakuwa saturated ?!!!
Lakini ukienda deep biashara nyingi sasa hivi duniani ni Deci / Ponzi na Speculations without anything being produced...; Hata Mabenki yenyewe ni mwendo wa kukopesha pesa ambazo hazipo (Creating Money from Nothing);....., That is the world we live in....