Ushuhuda: Nilikimbia Ualimu Kuepuka Matatizo

Ushuhuda: Nilikimbia Ualimu Kuepuka Matatizo

Wadau wanasema field ya ualimu usipo kimbia ndani ya miaka miwili au mitatu ujue wewe usha dumaa kimaisha.[/QUOTE MIMI NINASOMEA PIA UALIMU LAKINI MARA ZOTE UWA NINAJIULIZA TATIZO NI UALIMU AU TATIZO NI SISI WENYWE??IFIKE HATUA MWALIMU UJIAMINI KUWA UTAKUA NA MAFANIKIO MAKUBWA LAKINI NINADHANI TATIZO LINAKUJA PALE TUNAVYOTAKA KUISHI MAISHA KAMA YA CHUONI YAANI YA MAIGIZO,TUFANYE NA MAMBO MENGINE SIO KUTEGEMEA MSHAHARA KAMA MWANAKIJIJI AMBAYE HAPOKEI MSHAHARA ANAKUWA NA MAISHA BORA WHY ME????TUACHE KUWA NA BAD REFERENCES TUJIFUNZE KWA WALIMU WENYE MAFANIKIO NA SIO HAO WALEVI MAISHA YAKO HAYAWEZI YAKAWA SAWA NA MTU AMBAYE YEYE UTUMIA AKILI YAKE KUJIKOMBOA NA SIO KULALAMIKA KAMA SERIKALI HAIELEWI FANYA UNACHOWEZA LAKINI TIMIZA MAJUKUMU THATS ALL
 
Mpwa wangu MANI, Paloma zumbemkuu saudari na wengineo wengi....hivi ndivyo Mpwa wenu alivyoukimbia ualimu kwa uamuzi wa maumivu....mgumu kuliko, bado naupenda sana ualimu lakini si ktaika mazingira ya kujitesa.....

mhhh shemeji mpwa Elli........pole sana!!!
kuna wakati inabidi kufanya uamuzi mgumu!!! Piga moyo konde...endeleza unachokifanya....baadaye sana utakuja kujikuta umerudi katika kuifanya kazi ya wito wako - ualimu- lakini katika uwanja tofauti!!!
 
Last edited by a moderator:
Mpwa wangu nipe list ya walimu wenye mafanikio na ambao wako bado committed na kazi zao....mimi ninachojua na ambacho nina uhakika nacho tena kwa mifano...walime wengi waliofanikiwa ( sio wote nimesema wengi) wao wanafanya biashara na ualimu unabakia kivuli tu...je tufanye hivyo pia? Wakati nasoma Lushoto kulikua na Mwalimu wa shule ya Msingi alikua vizuri sana ila hakua anafundisha kwa siku nzima na wakati mwingine asifike hata shule....alikua ni dealer mzuri sana wa Mbao na Dealer wa Pombe pia....vipindi vyake alikua akiwauzia walimu wengine.....
Wadau wanasema field ya ualimu usipo kimbia ndani ya miaka miwili au mitatu ujue wewe usha dumaa kimaisha.[/QUOTE MIMI NINASOMEA PIA UALIMU LAKINI MARA ZOTE UWA NINAJIULIZA TATIZO NI UALIMU AU TATIZO NI SISI WENYWE??IFIKE HATUA MWALIMU UJIAMINI KUWA UTAKUA NA MAFANIKIO MAKUBWA LAKINI NINADHANI TATIZO LINAKUJA PALE TUNAVYOTAKA KUISHI MAISHA KAMA YA CHUONI YAANI YA MAIGIZO,TUFANYE NA MAMBO MENGINE SIO KUTEGEMEA MSHAHARA KAMA MWANAKIJIJI AMBAYE HAPOKEI MSHAHARA ANAKUWA NA MAISHA BORA WHY ME????TUACHE KUWA NA BAD REFERENCES TUJIFUNZE KWA WALIMU WENYE MAFANIKIO NA SIO HAO WALEVI MAISHA YAKO HAYAWEZI YAKAWA SAWA NA MTU AMBAYE YEYE UTUMIA AKILI YAKE KUJIKOMBOA NA SIO KULALAMIKA KAMA SERIKALI HAIELEWI FANYA UNACHOWEZA LAKINI TIMIZA MAJUKUMU THATS ALL
 
Una maneno mazuri wewe kama sura yako...naamini hata na moyo wako utakua vivyo hivyo My Dear Shemeji Mpwa....kwasasa mi ni Facilitator wa nini usniulize ntasema baadae kwahio bado nipo kwenye uwanja ule ule
mhhh shemeji mpwa Elli........pole sana!!!
kuna wakati inabidi kufanya uamuzi mgumu!!! Piga moyo konde...endeleza unachokifanya....baadaye sana utakuja kujikuta umerudi katika kuifanya kazi ya wito wako - ualimu- lakini katika uwanja tofauti!!!
 
Wadau wanasema field ya ualimu usipo kimbia ndani ya miaka miwili au mitatu ujue wewe usha dumaa kimaisha.[/QUOTE MIMI NINASOMEA PIA UALIMU LAKINI MARA ZOTE UWA NINAJIULIZA TATIZO NI UALIMU AU TATIZO NI SISI WENYWE??IFIKE HATUA MWALIMU UJIAMINI KUWA UTAKUA NA MAFANIKIO MAKUBWA LAKINI NINADHANI TATIZO LINAKUJA PALE TUNAVYOTAKA KUISHI MAISHA KAMA YA CHUONI YAANI YA MAIGIZO,TUFANYE NA MAMBO MENGINE SIO KUTEGEMEA MSHAHARA KAMA MWANAKIJIJI AMBAYE HAPOKEI MSHAHARA ANAKUWA NA MAISHA BORA WHY ME????TUACHE KUWA NA BAD REFERENCES TUJIFUNZE KWA WALIMU WENYE MAFANIKIO NA SIO HAO WALEVI MAISHA YAKO HAYAWEZI YAKAWA SAWA NA MTU AMBAYE YEYE UTUMIA AKILI YAKE KUJIKOMBOA NA SIO KULALAMIKA KAMA SERIKALI HAIELEWI FANYA UNACHOWEZA LAKINI TIMIZA MAJUKUMU THATS ALL

mwenzenu mie sijakanyaja chuo....hivi kumbe kuna maisha ya kuigiza huko? maigizo yepi? hakuna kufundishwa ila ni kuigiza kufundishwa? nielewesheni tafadhali.... Elli saudari MANI et al
 
Last edited by a moderator:
Kakurupuka tu huyu nae, sijui kama kanywa hata chai....miaka minne nimepigika UDSM pale na full Professors acha sasa hivi kumejaa Tutorial Assistants kibao halafu mtu anakuja anasema ni maigizo
mwenzenu mie sijakanyaja chuo....hivi kumbe kuna maisha ya kuigiza huko? maigizo yepi? hakuna kufundishwa ila ni kuigiza kufundishwa? nielewesheni tafadhali.... Elli saudari MANI et al
 
Una maneno mazuri wewe kama sura yako...naamini hata na moyo wako utakua vivyo hivyo My Dear Shemeji Mpwa....kwasasa mi ni Facilitator wa nini usniulize ntasema baadae kwahio bado nipo kwenye uwanja ule ule

sawa facilitator! kla la kheri!!
ila walimu wasichoke....waungane katika kutafuta kubadili hali hii jamani!!! na sie wengine tuwasapoti! sio kupiga tu kelele majukwaani kuwa elimu imeshuka kumbe mambo yanayoishuhsa ni mengi!!!
 
wadau wanasema field ya ualimu usipo kimbia ndani ya miaka miwili au mitatu ujue wewe usha dumaa kimaisha.[/quote] mimi ninasomea pia ualimu lakini mara zote uwa ninajiuliza tatizo ni ualimu au tatizo ni sisi wenywe??ifike hatua mwalimu ujiamini kuwa utakua na mafanikio makubwa lakini ninadhani tatizo linakuja pale tunavyotaka kuishi maisha kama ya chuoni yaani ya maigizo,tufanye na mambo mengine sio kutegemea mshahara kama mwanakijiji ambaye hapokei mshahara anakuwa na maisha bora why me????tuache kuwa na bad references tujifunze kwa walimu wenye mafanikio na sio hao walevi maisha yako hayawezi yakawa sawa na mtu ambaye yeye utumia akili yake kujikomboa na sio kulalamika kama serikali haielewi fanya unachoweza lakini timiza majukumu thats all


mimi ninasomea pia ualimu lakini mara zote uwa ninajiuliza tatizo ni ualimu au tatizo ni sisi wenywe??ifike hatua mwalimu ujiamini kuwa utakua na mafanikio makubwa lakini ninadhani tatizo linakuja pale tunavyotaka kuishi maisha kama ya chuoni yaani ya maigizo,tufanye na mambo mengine sio kutegemea mshahara kama mwanakijiji ambaye hapokei mshahara anakuwa na maisha bora why me????tuache kuwa na bad references tujifunze kwa walimu wenye mafanikio na sio hao walevi maisha yako hayawezi yakawa sawa na mtu ambaye yeye utumia akili yake kujikomboa na sio kulalamika kama serikali haielewi fanya unachoweza lakini timiza majukumu thats all
mimi ninasomea pia ualimu lakini mara zote uwa ninajiuliza tatizo ni ualimu au tatizo ni sisi wenywe??ifike hatua mwalimu ujiamini kuwa utakua na mafanikio makubwa lakini ninadhani tatizo linakuja pale tunavyotaka kuishi maisha kama ya chuoni yaani ya maigizo,tufanye na mambo mengine sio kutegemea mshahara kama mwanakijiji ambaye hapokei mshahara anakuwa na maisha bora why me????tuache kuwa na bad references tujifunze kwa walimu wenye mafanikio na sio hao walevi maisha yako hayawezi yakawa sawa na mtu ambaye yeye utumia akili yake kujikomboa na sio kulalamika kama serikali haielewi fanya unachoweza lakini timiza majukumu thats all
 
Ndio manaa nilinunua siku nzima nilipoambiwa eti wanaunda Tume kuchunguza kwanini watoto wetu wa sekondari wamefeli.....kha!! Jibu wanalo wenyewe, wajiulize mbona wao hawawpeleki huko watoto wao? wangejibu hilo basi wangekuwa wameshamaliza mchezo
sawa facilitator! kla la kheri!!
ila walimu wasichoke....waungane katika kutafuta kubadili hali hii jamani!!! na sie wengine tuwasapoti! sio kupiga tu kelele majukwaani kuwa elimu imeshuka kumbe mambo yanayoishuhsa ni mengi!!!
 
mwenzenu mie sijakanyaja chuo....hivi kumbe kuna maisha ya kuigiza huko? maigizo yepi? hakuna kufundishwa ila ni kuigiza kufundishwa? nielewesheni tafadhali.... Elli saudari MANI et al
KUKIMBIA KAZI BADO HUJAMALIZA MATATIZO NDUGU YANGU HIVI!!!!!WEWE UNATAKA UKIFIKA TU KWENYE KITUO CHA KAZI UKUTE FACILITIES KAMA ULIZOZIKUTA CHUO??NILIVYOSEMA MAIGIZO NILIMAANISHA KUWA MAISHA YA CHUONI NI TOFAUTI KABISA NA MAISHA HALISI YA MAENEO AMBAYO TUNATEGEMEA KUFANYA KAZI NA HIVYO BASI KUWAPELEKEA WANAVYUO WENGI KUONA THE WAY ANAVYOISHI CHUONI BASI NA MAZINGIRA YA KAZI YAPO HIVYOHIVYO UTAKUBALIANA NA MIMI KAMA HUTAKUA MNAFIKI KUA MAISHA YA WANAVYUO WENGI NI SO LUXURY,KWAHIYO TUJIANDAE KUPAMBANA NA UGUMU WA MAISHA TUNAOENDA KUKUTANA NAO HUKO MAKAZINI.
 
Mkuu Elli umeitafunia Tume ya Pinda kila kitu bado kumeza tu, wakitaka wameze wasipotaka wafanye kama hawaoni.

Ulichofanya wewe hapo mwishoni, ndicho walimu wengi walichofanya na wanachoendelea kufanya sasa hivi kimya kimya. Asiyeamini aende vyuo vya elimu ya juu ataone ni wanavyuo wangapi wenye fani za Ualimu wanachukua fani nyinginezo kama Marketing, BBA, IT/Comp. Eng./Science, Law, Human Resource/Industrial Relation, Uhasibu (CPA) n.k.
Hata kwenye nyadhifa za juu za uongozi nchi hii wamejaa walimu, bungeni wamejaa walimu. Jiulize kwanini wamekimbia fani zao.

Walimu wamechoka kudhalilishwa jamani tena unakuta anadhalilishwa na kajitu kenye cheti tu maskini kalichopo kaunta labda ya Halmashauri, wizarani, benki nk. wakati mwalimu kamaElli ana Bachelor yake.

Naelewa Serikali imelala katika kujali walimu lakini itakapofungua macho itakuja kuta ualimu ni sehemu ya vijana wetu kupitia kwenda kwenye mafanikio tu.
 
Kakurupuka tu huyu nae, sijui kama kanywa hata chai....miaka minne nimepigika UDSM pale na full Professors acha sasa hivi kumejaa Tutorial Assistants kibao halafu mtu anakuja anasema ni maigizo

WEWE NDIO ULIYEKURUPUKA,KUKIMBIA,KULALAMIKA HAKUTAKUSAIDIA KITU TUNATAKA KUONA MCHANGO WAKO NA SIO KUKIMBIA AU KULALAMIKA!!!!UNATAKA KUNIAMBIA HAKUNA WALIMU WANAISHI MAISHA MAZURI ACHA KUWA NA MTAZAMO HASI DHIDI YA UALIMU......SWALI LA MSINGI NI KWAMBA KAMA MTU AMBAYE HAKIJUI CHUO KIKUU WALA HANA MSHAHARA ANAKUA NA MAISHA MAZURI JE KWAKO WEWE UNAYEPOKEA MSHAHARA???????
 
KUKIMBIA KAZI BADO HUJAMALIZA MATATIZO NDUGU YANGU HIVI!!!!!WEWE UNATAKA UKIFIKA TU KWENYE KITUO CHA KAZI UKUTE FACILITIES KAMA ULIZOZIKUTA CHUO??NILIVYOSEMA MAIGIZO NILIMAANISHA KUWA MAISHA YA CHUONI NI TOFAUTI KABISA NA MAISHA HALISI YA MAENEO AMBAYO TUNATEGEMEA KUFANYA KAZI NA HIVYO BASI KUWAPELEKEA WANAVYUO WENGI KUONA THE WAY ANAVYOISHI CHUONI BASI NA MAZINGIRA YA KAZI YAPO HIVYOHIVYO UTAKUBALIANA NA MIMI KAMA HUTAKUA MNAFIKI KUA MAISHA YA WANAVYUO WENGI NI SO LUXURY,KWAHIYO TUJIANDAE KUPAMBANA NA UGUMU WA MAISHA TUNAOENDA KUKUTANA NAO HUKO MAKAZINI.

Hivi unafikiria ni kwa jinsi gani huyo mwalimu ataendelea kuwa na uvumilivu usiyokuwa na mwisho? Inafika mahai mtu unasema THIS IS TOO MUCH.
Huyu mwalimu kila siku ataendelea kufanya kazi yake katika mazingira magumu mpaka lini?
Swali la kujiuliza, Je serekali haliyaoni hayo?
Waalimu wanapata shida sana katika ila serikali imewasusa.

Hebu soma hapa halafu uniambia kama hayo ni MAIGIZO au ni REALITY.
Barua kutoka kwa mwalimu wa shule ya msingi kwenda kwa rais

CC: gfsonwin , Mamndeny, Paloma, Elli, MANI, snowhite.
 
Last edited by a moderator:
Kakurupuka tu huyu nae, sijui kama kanywa hata chai....miaka minne nimepigika UDSM pale na full Professors acha sasa hivi kumejaa Tutorial Assistants kibao halafu mtu anakuja anasema ni maigizo

WEWE NDIO ULIYEKURUPUKA,KUKIMBIA,KULALAMIKA HAKUTAKUSAIDIA KITU TUNATAKA KUONA MCHANGO WAKO NA SIO KUKIMBIA AU KULALAMIKA!!!!UNATAKA KUNIAMBIA HAKUNA WALIMU WANAISHI MAISHA MAZURI ACHA KUWA NA MTAZAMO HASI DHIDI YA UALIMU......SWALI LA MSINGI NI KWAMBA KAMA MTU AMBAYE HAKIJUI CHUO KIKUU WALA HANA MSHAHARA ANAKUA NA MAISHA MAZURI JE KWAKO WEWE UNAYEPOKEA MSHAHARA???????

safi sana kaka
 
Mpwa una visa wewe....hapa hatuzungumzii kila mtu, tunazungumzia walimu Mpwa....nipe mfano wa Mwalimu gani amebaki akafundisha kwa moyo wote huku ana mafanikio? Nimekupa mfano wa Walimu ambao wamefanikiwa but walikua hawa-attend vipindi kama inavyotakiwa kwasababu muda mwingi wa deal na biashara zao.....hebu na wewe nifundishe hao unaowafahamu wewe waliwezaje? Mimi salary yangu wakati naanza hio kazi Take Home ilikua around Tshs. 372,000/= na huu ni mshahara wa graduate, sasa hebu nipigie bajeti Mpwa....ukifanya maiak kama kumi ndio utafikisha kama laki nane au milioni pengine....huna overtime, huna house allowance, una meical ya kizushi zushi tu, huna transport allowance....No Mpwa kuwa mkweli wa roho yako tusiendekeze malumbano bhana
Kakurupuka tu huyu nae, sijui kama kanywa hata chai....miaka minne nimepigika UDSM pale na full Professors acha sasa hivi kumejaa Tutorial Assistants kibao halafu mtu anakuja anasema ni maigizo

WEWE NDIO ULIYEKURUPUKA,KUKIMBIA,KULALAMIKA HAKUTAKUSAIDIA KITU TUNATAKA KUONA MCHANGO WAKO NA SIO KUKIMBIA AU KULALAMIKA!!!!UNATAKA KUNIAMBIA HAKUNA WALIMU WANAISHI MAISHA MAZURI ACHA KUWA NA MTAZAMO HASI DHIDI YA UALIMU......SWALI LA MSINGI NI KWAMBA KAMA MTU AMBAYE HAKIJUI CHUO KIKUU WALA HANA MSHAHARA ANAKUA NA MAISHA MAZURI JE KWAKO WEWE UNAYEPOKEA MSHAHARA???????
 
WEWE NDIO ULIYEKURUPUKA,KUKIMBIA,KULALAMIKA HAKUTAKUSAIDIA KITU TUNATAKA KUONA MCHANGO WAKO NA SIO KUKIMBIA AU KULALAMIKA!!!!UNATAKA KUNIAMBIA HAKUNA WALIMU WANAISHI MAISHA MAZURI ACHA KUWA NA MTAZAMO HASI DHIDI YA UALIMU......SWALI LA MSINGI NI KWAMBA KAMA MTU AMBAYE HAKIJUI CHUO KIKUU WALA HANA MSHAHARA ANAKUA NA MAISHA MAZURI JE KWAKO WEWE UNAYEPOKEA MSHAHARA???????

Kwani umeambiwa mtu kujua chuo ndo kufanikiwa katika maisha?
 
Hivi unafikiria ni kwa jinsi gani huyo mwalimu ataendelea kuwa na uvumilivu usiyokuwa na mwisho? Inafika mahai mtu unasema THIS IS TOO MUCH.
Huyu mwalimu kila siku ataendelea kufanya kazi yake katika mazingira magumu mpaka lini?
Swali la kujiuliza, Je serekali haliyaoni hayo?
Waalimu wanapata shida sana katika ila serikali imewasusa.

Hebu soma hapa halafu uniambia kama hayo ni MAIGIZO au ni REALITY.
Barua kutoka kwa mwalimu wa shule ya msingi kwenda kwa rais

CC: gfsonwin , Mamndeny, Paloma, Elli, MANI, snowhite.

Mpwa hawa wanajua lakini hawataki kukubali ukweli. Hivi serekali ilipoanzisha shule bila vifaa ilitegemea nani avilete!
 
Umesema ukweli mtupu...kuna mtu anabishana na mimi wakati hata huko kwenye ualimu kwenyewe hajafika.....acha tu
Hivi unafikiria ni kwa jinsi gani huyo mwalimu ataendelea kuwa na uvumilivu usiyokuwa na mwisho? Inafika mahai mtu unasema THIS IS TOO MUCH.
Huyu mwalimu kila siku ataendelea kufanya kazi yake katika mazingira magumu mpaka lini?
Swali la kujiuliza, Je serekali haliyaoni hayo?
Waalimu wanapata shida sana katika ila serikali imewasusa.

Hebu soma hapa halafu uniambia kama hayo ni MAIGIZO au ni REALITY.
Barua kutoka kwa mwalimu wa shule ya msingi kwenda kwa rais

CC: gfsonwin , Mamndeny, Paloma, Elli, MANI, snowhite.
 
Mpwa wangu nipe list ya walimu wenye mafanikio na ambao wako bado committed na kazi zao....mimi ninachojua na ambacho nina uhakika nacho tena kwa mifano...walime wengi waliofanikiwa ( sio wote nimesema wengi) wao wanafanya biashara na ualimu unabakia kivuli tu...je tufanye hivyo pia? Wakati nasoma Lushoto kulikua na Mwalimu wa shule ya Msingi alikua vizuri sana ila hakua anafundisha kwa siku nzima na wakati mwingine asifike hata shule....alikua ni dealer mzuri sana wa Mbao na Dealer wa Pombe pia....vipindi vyake alikua akiwauzia walimu wengine.....QUOTE]

Mkuu Elli wanachoshindwa kuelewa watu kama hao ni rahisi sana, ukiona mwalimu anajishughulisha na vitu vingine vya kujiongezea kipato fahamu hapo ufanisi darasani sifuri kama sio "F". Ualimu sio kama Udaktari, Uhasibu, Uinjinia, Ufundi mwingine wowote ule ambapo ukitoka ofisini tu kila kitu umekiacha ofisini, changamoto na mengineyo utayakuta kesho tena ukirudi ofisini, Ualimu haupo hivyo ndugu zangu, Ualimu ni popote ukiwa shuleni/darasani unafundisha, ukimaliza kipindi ndiyo muda wa kuandaa andalio la somo au kipindi kingine, kama haitoshi mwalimu huyo huyo anapokuwa nyumbani ndiyo muda mwafaka wa kuandaa somo la kesho yake pamoja na andalio la somo.

Sasa unaposema mwalimu avumilie kuishi kwenye mazingira magumu yasiyokuwa hata na umeme unategemea hilo somo litaandaliwa saa ngapi eti mtu anajaribu kulinganisha Mwalimu na Mtumishi mwingine, hilo ni kosa. Mwalimu anaingia darasani pasipo kujiandaa vya kutosha kutokana na mazingira duni anayoishi, unategemea nini hapo kama sio wale 60%. Walimu waliopo makazini wamevunjika mioyo, jamii inawadhararu hata makonda tunawasikia mabararani wakikashifu magari fulani kuwa haya si ya walimu, serikali nayo ndiyo kabisa.

Mwalimu wa leo aliyejitoa ni yule wa siku nyingi ambaye hana namna tena yupo kwa sababu ndiyo kazi inayompa kuishi yeye na familia yake lakini wale ambao bado umri unaruhusu wengi wao wapo kwenye Ualimu huku wakisubiri target zao nyingine zitiki, sasa unafikiri atakuwa na muda wa ziada wa kumsaidia mtoto wa mtu!

Elimu inashuka na sababu zipo zinaonekana lakini wenye maaamuzi wanajifanya kama hawaoni.
Naheshimu sana walimu kwa maana bila wao mimi leo hii nisingeweza kutanua jijini, nauelewa Ualimu japo si sana kwa kuwa hata mimi baba yangu alikuwa Mwalimu maisha na tuliyokuwa tunaishi najua mimi, alivyonisomesha kwa mbinde mpaka nafika Elimu ya Chuo Kikuu najua mimi.
 
Back
Top Bottom