sijapat kikubwa sana ila at least nimepata uwezo wa ku-bargain ujira na kwamba ninavyoongeza juhudi ndivyo ninavyopata! Sio ile ya flat rate yaani ukikaa hadi saa 12 jioni bado at the end utalipwa salary ile ile. Nimetoka kule nimepata exposure kubwa na challanges nyingi nzuri na nimejenga confidence zaidi. Kwa sasa nitamke hayo tusasa elli km ulifanya huo uamuz ni jambo la busara sana...tupe mrejesho ulielekea wapi na huko ulikoelekea umefanikiwa kupata nn mfukoni na kimaisha kiujumla....ila walimu poleni rafiki zangu
Zunguka ofisi nyingi za umma au binafsi, bungeni, tembelea vyuo vikuu vingi hapa nchini utabaini katika watu kumi, wawili au watatu wana historia ya kuwa walimu.
Exodus hii inamaanisha walimu wamejiongeza, kazi kwako wewe unayeshinda mitandaoni kulalamika bila kuchukua hatua.
Hizi kazi huwa haziachwi kama hujafukuzwa,ukipewa wanafunzi uwape huduma wape,labda kama huna wito unaweza kuacha.
Mkuu unadanganya wenzako eti Ualimu ni wito wakati hakuna maduka ya wito, mabucha ya wito, hospital za wito, daladala, shule na nyumba za kupanga za wito ili wenye kazi za wito na familia zao wapate huduma huko.Hizi kazi huwa haziachwi kama hujafukuzwa,ukipewa wanafunzi uwape huduma wape,labda kama huna wito unaweza kuacha.