Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,120
- 7,912
Mbona hujaweka hadi leoAsante sana ndugu ipo siku nitaweka ushuhuda humu na watu watadhani mimi ni fiction character ila Mungu anatenda ukimtegemea tu
Mbona hujaweka hadi leoAsante sana ndugu ipo siku nitaweka ushuhuda humu na watu watadhani mimi ni fiction character ila Mungu anatenda ukimtegemea tu
Tupe ushuhuda wako mkuuAsante sana ndugu ipo siku nitaweka ushuhuda humu na watu watadhani mimi ni fiction character ila Mungu anatenda ukimtegemea tu
You hustle you get???? Hadi kwenye ada ya form six? Hadi kwenye passport? MkuuKusema kweli sijaona kitu cha ajabu hapo!,normal life kabisa you hustle you get! Mbona ni mtiririko usionashaka.. kuwapita wanaojua kiingereza huo nao ni muujiza.. angalia pia personality yako huenda ikawa inavutia kwa wengi wala sijaona muujiza, kwenye interview huenda una jiamini shinda wengine n.k
Mungu wako siku akiinua wagonjwa waliolala mahospitalini kwa dk moja ndo nitajua yeye ni Mungu nje na hapo hizi stori ni kitu cha kawaida sana ila wewe tu vile unazichukulia as muujiza😎