Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,614
- Thread starter
- #41
Ok mkuu tutaendelea kupeana uzoefu wa ufugaji. binafsi kuna mengi nimejifunza kutoka hapa JF, hivyo naona ni vyema pia kuwashirikisha kwa yale ambayo nayafanyia kazi na kuona matokeo chanya.asante sana ndg.. jamii inahitaji watu makini kama ninyi
Mwezi Septemba 16 Mungu ataniwezesha nianze thread ya darasa hatua kwa hatua. Tayari maandalizi yapo sawasawa. Hivyo kaeni tayari kwa ajili ya kushiriki darasa hilo ambalo nategemea litaendelea hadi mwezi Juni 2017 likiwa na idadi ya kuku wasiopungua 1000. Naamini nitakuwa na wenzangu wengi watakaofuatilia darasa hilo.