Ushuhuda - Kuku wa kienyeji ..

www.agrotico.net.jpg

Majani hayo hapo sijui yanapatikana kwenu?
Asante kwa msaada..haya nayafahamu ila hilo jina lilikuwa geni kidogo kwangu
 
Saidia kidogo, hebu sema jambo kwa majani ya kila mmea hapo, unautumiaje, unaaloweka kwenye maji au unawapa majani yenyewe kama chakula
Mchicha, majani ya magimbi, vinasa nguo, - haya wanakula tu kawaida
Mpera, aloevera, rosella - haya inabidi uwatengenezee juice yake ikae masaa 6 / 12 kwenye maji .. Yakibaki unamwaga kesho unaandaa tena. Fanya hivyo kwa siku 5 mfululizo.
 
Mwanza jijini
oooh sawa mdau nilizani upo jijini Dar....vipi wanapokuwa waharisha unawapaga dawa gani mie wangu wana mafua makuharisha pia...kawaida huwa nnawapa antbiotic ya OTC20/50% na inawasaidiaga but this time nilipewa dawa tofauti haijawasaidia hadi imebidi kuwapa fluban ambayo nazani inawasaidia taratibu..ishu ni mharo je huwa kuna mtishamba unaosaidia kukata hii kitu??
 
oooh sawa mdau nilizani upo jijini Dar....vipi wanapokuwa waharisha unawapaga dawa gani mie wangu wana mafua makuharisha pia...kawaida huwa nnawapa antbiotic ya OTC20/50% na inawasaidiaga but this time nilipewa dawa tofauti haijawasaidia hadi imebidi kuwapa fluban ambayo nazani inawasaidia taratibu..ishu ni mharo je huwa kuna mtishamba unaosaidia kukata hii kitu??
Majani ya mpera ndo kiboko ya kuhara, twanga then weka kwenye maji kwa masaa 12, wape wanywe - yakibaki mwaga na andaa mengine kwa ajili ya siku inayofuata.
Pia majani ya Rosela yanasaidia sana, tatizo majani hayo hayapatikani kiuraisi huko Dar!Hapa mwanza yapo ya kutosha, nimeyapanda tu mengi home.
 
Majani ya mpera ndo kiboko ya kuhara, twanga then weka kwenye maji kwa masaa 12, wape wanywe - yakibaki mwaga na andaa mengine kwa ajili ya siku inayofuata.
Pia majani ya Rosela yanasaidia sana, tatizo majani hayo hayapatikani kiuraisi huko Dar!Hapa mwanza yapo ya kutosha, nimeyapanda tu mengi home.
asante sana mpambanaji nitaitumia leo nisimamishe kwanza fluban ili wakate kuharisha maana wanakosa hadi hamu ya kula....nikweli miti ya rozela huku haipo ila majani yake yaliyokaushwa yanauzwa huku c unaweza kuyaloweka ukawapa bado yatafanya kazi inayotegemewa au??
 
asante sana mpambanaji nitaitumia leo nisimamishe kwanza fluban ili wakate kuharisha maana wanakosa hadi hamu ya kula....nikweli miti ya rozela huku haipo ila majani yake yaliyokaushwa yanauzwa huku c unaweza kuyaloweka ukawapa bado yatafanya kazi inayotegemewa au??
Inawezekana hiyo mkuu, ila najua kwenye supermarket wanauza rosella flowers na sio majani...
 
Inawezekana hiyo mkuu, ila najua kwenye supermarket wanauza rosella flowers na sio majani...
SURE THING NI FLOWERS......hivi kwa huko jijini kwenu chotara mnawapata wapi somebody asked n no ans, there help out??
 
Wapiganaji habari za leo ...
Nimekuwa kwenye kujaribu kila ushauri niupatao hapa Jf kwenye ujasiriamali na namshukuru Mungu kwamba kuna vitu nimevifanyia kazi vikaleta matokeo chanya. Sina budi niwajuze ili nanyi mkafaidi.
1. Kuku wa kienyeji akipatiwa tiba asilia tu kuanzia hatua za awali anakuwa mstahimilivu wa maradhi.
Ifuatayo ni list ya majani nilowapatia vifaranga kwa kipindi cha miezi minne na sasa wana afya njema.
i) Vinasa nguo,
ii) Mchicha
iii) Majani ya Magimbi
iv) Alovera
v) Majani ya mpera
vii) Majani ya rosella - Haya sikuwahi kuyaona yameandikwa popote, niliyatumia kwa sababu yameandikwa sana kwenye tiba za binadamu.

Zaidi ya yote nimeyaona maajabu ya kitunguu maji. Hii ni tiba na kinga ya mafua kwa kuku wa umri wowote. Nakumbuka siku moja mwanangu alinipigia simu na kunieleza kwamba kwenye vifaranga wanapiga chafya sana. Nilipoenda sokoni nilikosa pilipili kichaa, nikataka kwenda kununua fulban (dawa ya mafua kwa kuku) - hela ikapungua. Nikakumbuka kwamba kuna bandiko moja kwenye JF linaongelea maajabu ya kitunguu maji .. basi nikanunua Kg 1 ya vitunguu, nilipofika nyumbani nikachukua vitunguu 3 nikavikatakata na kuninginiza kwenye banda la vifaranga ...
Asubuhi hakuwepo kifaranga hata mmoja alokuwa akipiga chafya. Hivyo nikajua kwamba kuna ukweli kwamba kitunguu maji kinakusanya bakteria walioko hewani.
Naendelea na majaribio mengine .. nitawajuza iwapo kutatokea jambo jingine la kuwashirikisha.
Naongezea apo na alzeti mwitu mm nimeifumia sana na imenisaidia sana lakini nlikuwa natumia kwa kuku wa kienyeji
 
Wapiganaji habari za leo ...
Nimekuwa kwenye kujaribu kila ushauri niupatao hapa Jf kwenye ujasiriamali na namshukuru Mungu kwamba kuna vitu nimevifanyia kazi vikaleta matokeo chanya. Sina budi niwajuze ili nanyi mkafaidi.
1. Kuku wa kienyeji akipatiwa tiba asilia tu kuanzia hatua za awali anakuwa mstahimilivu wa maradhi.
Ifuatayo ni list ya majani nilowapatia vifaranga kwa kipindi cha miezi minne na sasa wana afya njema.
i) Vinasa nguo,
ii) Mchicha
iii) Majani ya Magimbi
iv) Alovera
v) Majani ya mpera
vii) Majani ya rosella - Haya sikuwahi kuyaona yameandikwa popote, niliyatumia kwa sababu yameandikwa sana kwenye tiba za binadamu.

Zaidi ya yote nimeyaona maajabu ya kitunguu maji. Hii ni tiba na kinga ya mafua kwa kuku wa umri wowote. Nakumbuka siku moja mwanangu alinipigia simu na kunieleza kwamba kwenye vifaranga wanapiga chafya sana. Nilipoenda sokoni nilikosa pilipili kichaa, nikataka kwenda kununua fulban (dawa ya mafua kwa kuku) - hela ikapungua. Nikakumbuka kwamba kuna bandiko moja kwenye JF linaongelea maajabu ya kitunguu maji .. basi nikanunua Kg 1 ya vitunguu, nilipofika nyumbani nikachukua vitunguu 3 nikavikatakata na kuninginiza kwenye banda la vifaranga ...
Asubuhi hakuwepo kifaranga hata mmoja alokuwa akipiga chafya. Hivyo nikajua kwamba kuna ukweli kwamba kitunguu maji kinakusanya bakteria walioko hewani.
Naendelea na majaribio mengine .. nitawajuza iwapo kutatokea jambo jingine la kuwashirikisha.
asante sana ndg.. jamii inahitaji watu makini kama ninyi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom