USHUHUDA: Hii ndiyo michezo hatarishi ya Kampuni ya Mafuta ya Oilcom

Nakujibu mara ya mwisho.

1. Wewe ni mtu unayejulikana huku kwa sentiments zako, ndio huko unapotaka kuelekea kwamba OILCOM inashambuliwa kwa kuwa ni waislamu. ila angalia majina yanayotajwa humu George na Anderson

2. Gwajima na rwakatare hata kama wanaibia serikali ni kwa sababu ya upenyo ulioachwa wazi kwa taasisi za dini. Wanaitumia hiyo loophole ipasavuo

3. Ficha ujinga wako kuleta ishu za hawa wanaojiita watumishi wa Mungu na hawa wafanyabiashara wa mafuta. Wanafanya vitu viwili tofauti. Hata tukiamua kuwapa jina la matapeli wa kiroho hawafanani na hawa wafanyabiashara

4. Tafuta kazi dogo, uanze kujichanganya na watu ujifunze vitu sio unaamka asubuh kwa baba, unaenda msikitini unarudi kula kwa baba, unaenda kubet unarudi kula kwa baba kisha unapost utumbo hapa bila hata kufikiria hii inahusu NCHI YAKO
Well said!
 
Juzi nimefungua uzi wenye kichwa cha habari, "USHUHUDA: Jinsi kampuni za mafuta zinavyokwepa ushuru" nikatoa mfano mmoja wa kampuni ya OILCOM inavyokwepa ushuru. Kuna watu wameni-inbox vitisho.

Sasa natoa mfano mwingine wa OILCOM hiyohiyo.

Baada ya gas ya songosongo kuanza kuchakatwa ( Gas processing). Kampuni ya OILCOM ilipata tender ya kununua Naptha ambayo ni byproduct ya gas processing. Hii naptha ni mojawapo ya condensate katika Natural Gas Liquids (NGL) ambazo huwa zina-liquify katika surface separator. Kwa wasioijua hii Naptha ni ile thinner inayotumika kuchanganyia rangi. Sasa hii naptha inatumika katika viwandani kutengenezea Rangi. Sasa OILCOM ndio Dealer mkubwa wa hiyo naptha pale songosongo. Huwa anapeleka meli pale songosongo na kupakia mzigo wa kutosha na kuja kuushusha kwenye depot yake pale kurasini. Kwa mkataba wake OILCOM ni kwamba anaiuza kwenye viwanda vya rangi vya hapa nchini na nyingine ana-export nje ya nchi.

Anachokifanya kwenye depot yake pale kurasini ni kui-blend na Petrol (PMS) kwa ratio nzuri na kuongeza na octane boosters ili afikie viwango vinavyohitajika vya AKI (Anti Knocking Index) na anatuuzia kwenye service station zake kama petrol.
Parameter anayoi-monitor kwenye hii petrol anayotu-blendia ni hiyo OCTANE number tu kwa sababu anajua kuwa akikosea hiyo atauwa injini za magari yote yanayotumia petrol na effect yake watu wataiona immediately wakijaza kwenye station zake.

Parameter nyingine kama oxygen content na vapour pressure hashuguliki nazo kwa kuwa effect zake zipo kwenye ulaji wa mafuta wa injini na kutoa moshi. (Effects of low and high oxygen content)
Hii petrol yenye naptha ya songosongo tumeuziwa kwa muda mrefu sana na wakuu wanajua kuanzia ewura hadi TRA. Yupo afisa mmoja wa TRA wa kitengo cha mafuta ambaye alikuwa ndio kama Resident custom officer pale oilcom anaitwa GEORGE, yeye ndio alikuwa kiunganishi wa OILCOM kwenye haya magumashi
Kiongozi peleka data zote jamhuri ili magu aone achukue hatua!
 
Mimi siongei kwa kibahatisha.

Nenda TRA kaulize nani top 10 mwenye kuleta hesabu zake Ontime na je kuna siku aliwahi kukamatwa kakwepa Kodi km Mengi na wengine?

Mnaleta speculations bila Ushahidi?
Mmekuwa waimba Taarabu nyie?

Vipi ndugu yetu, kitumbua kimeingia mchanga?.Ndiyo hivyo ,wadau washasema No more to Oilcom.Unataka ushahidi kwani hapa kwa pilato?
 
Juzi nimefungua uzi wenye kichwa cha habari, "USHUHUDA: Jinsi kampuni za mafuta zinavyokwepa ushuru" nikatoa mfano mmoja wa kampuni ya OILCOM inavyokwepa ushuru. Kuna watu wameni-inbox vitisho.

Sasa natoa mfano mwingine wa OILCOM hiyohiyo.

Baada ya gas ya songosongo kuanza kuchakatwa ( Gas processing). Kampuni ya OILCOM ilipata tender ya kununua Naptha ambayo ni byproduct ya gas processing. Hii naptha ni mojawapo ya condensate katika Natural Gas Liquids (NGL) ambazo huwa zina-liquify katika surface separator. Kwa wasioijua hii Naptha ni ile thinner inayotumika kuchanganyia rangi. Sasa hii naptha inatumika katika viwandani kutengenezea Rangi. Sasa OILCOM ndio Dealer mkubwa wa hiyo naptha pale songosongo. Huwa anapeleka meli pale songosongo na kupakia mzigo wa kutosha na kuja kuushusha kwenye depot yake pale kurasini. Kwa mkataba wake OILCOM ni kwamba anaiuza kwenye viwanda vya rangi vya hapa nchini na nyingine ana-export nje ya nchi.

Anachokifanya kwenye depot yake pale kurasini ni kui-blend na Petrol (PMS) kwa ratio nzuri na kuongeza na octane boosters ili afikie viwango vinavyohitajika vya AKI (Anti Knocking Index) na anatuuzia kwenye service station zake kama petrol.
Parameter anayoi-monitor kwenye hii petrol anayotu-blendia ni hiyo OCTANE number tu kwa sababu anajua kuwa akikosea hiyo atauwa injini za magari yote yanayotumia petrol na effect yake watu wataiona immediately wakijaza kwenye station zake.

Parameter nyingine kama oxygen content na vapour pressure hashuguliki nazo kwa kuwa effect zake zipo kwenye ulaji wa mafuta wa injini na kutoa moshi. (Effects of low and high oxygen content)
Hii petrol yenye naptha ya songosongo tumeuziwa kwa muda mrefu sana na wakuu wanajua kuanzia ewura hadi TRA. Yupo afisa mmoja wa TRA wa kitengo cha mafuta ambaye alikuwa ndio kama Resident custom officer pale oilcom anaitwa GEORGE, yeye ndio alikuwa kiunganishi wa OILCOM kwenye haya magumashi
Unajua unacho kiongea na unatoa details za maama i hope wahusika wataliona hili na kulifanyia kazi
 
Tanzania haizalishi Naphtha kutoka songosongo. kwa sababu hio inahitajika a separate invstment kuprocess ili iweze kutumika huko viwandani.
viwanda vyote vya hapa via import hii dudu
refinery ya songo songo ni kwa ajili ya natural gas pekee . hata zile by product bado tulikua tunatafuta wawekezaji waje kuprocess
naona unajitahidi kuamua kumchafulia oil com utafikiri kakuchukulia mkeo ...
hawa jamaa ni watu wa dini sana. hata wakati ule wa uchakachuaji magari basi mali yake ilikua safi na hakukua na ulalamishi wa product yake. ilikua salama kuweka mafuta vituo viwili tu....Oil com na BP vyengine vyote haviaminiki.

sasa huo ni ujinga kama kakuchukulia mkeo basi yamalizeni huko huko usituletee porojo ..na chuki.
stori yako ya mwanzo umeshindwa kuthibitisha sasa unakuja na shauri nyengine kumchafua
 
maneno matupu hayavunji mfupa.Tuletee ushahidi wa audio,video,picha za mnato au maandishi.Sio wivu anzeni na mikataba ya madini huko.Tanzanite inaizwa kenya na india wakati sisi ni wachimbaji.Kila siku bandarini kwa vitu vinavyoingia.wakati vipo vinavyotoka
 
Back
Top Bottom