Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,471
- 6,370
Yaah upo sahihi mkuu, kabla ya kuingia lazima ufanye kujihakikishia unachoenda kukifanya ktk hyo biashara😂Si mchezo...hii biashara sijawahi kuifanya exactly ila nimetoka kuifuatilia juzi juzi tu, huko huko Mbeya.ndani ndani huko kunaitwa Kamsamba, ni biashara yenye mbinde kdg na ukifanya masihara unachezea za uso...namshukuru mkuu Insigne kwa kunipa connection na kwenda kunitoa tongo tongo pande hizo...nimejifunza vitu vingi nikiwa na ndugu yangu...tunajipanga tena mambo yakiwa mazuri tunategemea kurudi msimu wa mavuno ya mpunga ukianza...bro huo mtaji wako kwa hii biashara hutoboi, mimi nilipiga hesabu nikiwa na mtaji wa milioni 10 nikajikuta napata faida ya laki mbili (200,000/) hapo hujatoa gharama za usafiri na chakula, na malazi...Noma Sanaa ila inawezekana
Nilipenda sana kwa ww mwenyewe kufika eneo husika na kujua kinachoendelea ktk biashara hiyo
Hope msimu mwingine wa kuvuna utaziwahi bei zake kabla hazijakomaa