Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,154
- 447
Binafsi ni mhanga wa tukio hili.
Naamini wapo wahusika wa airtel kwenye jamvi, wachukue hatua.
Jana, Jumapili, tar 21 July at 12:58pm nilinunua kifurushi cha 24hrs plus 1hr kwa gharama ya tshs 499. Nilipatiwa dk 15, sms 150 na 50MB.
Nikatumia dk 5, sms 1 na Mb sikutumia kabisa.
Cha kushangaza, muda huu najaribu kutazama salio hakuna MB hata moja. Napiga huduma kwa wateja, naambiwa habari za mchana then simu inakatwa. Twice.
Hatimaye nikaongea na dada mmoja, akathibitisha kweli hakuna MB hata moja, ananiambia nisubiri tu itawekwa!
ACHENI wizi mchana kweupe!
Naamini wapo wahusika wa airtel kwenye jamvi, wachukue hatua.
Jana, Jumapili, tar 21 July at 12:58pm nilinunua kifurushi cha 24hrs plus 1hr kwa gharama ya tshs 499. Nilipatiwa dk 15, sms 150 na 50MB.
Nikatumia dk 5, sms 1 na Mb sikutumia kabisa.
Cha kushangaza, muda huu najaribu kutazama salio hakuna MB hata moja. Napiga huduma kwa wateja, naambiwa habari za mchana then simu inakatwa. Twice.
Hatimaye nikaongea na dada mmoja, akathibitisha kweli hakuna MB hata moja, ananiambia nisubiri tu itawekwa!
ACHENI wizi mchana kweupe!