BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
kulikuwa na wanandoa wawili ndani wanafanya mapenzi wakasikia mlango umevujwa akatokea jamaa mmoja na bastola mkononi akawambia mkitaka nisiwaue fanyeni kila kitu nitakachowaambia, basi jinsi alivyowakuta uchi akawafunga kamba akamfuata yule mwanamke akaanza kumpapasa sehemu za shingo alafu akaelekea bafuni....mwanaume akaanza kumwambia mkewe, baby ww mpe tu chochote kwani hatuna jinsi ukikataa atatuua wote...mwanamke akamjibu wakati ananipapasa shingo alikuwa ananiuliza tunaweka wapi mafuta ya vaseline amesema anakutaka wewe vumilia baby hatuna jinsi.