Ushoga hapana Tanzania: Let's say #NoToLoveWins

Ushoga hapana Tanzania: Let's say #NoToLoveWins

Zamani kidogo kuna mwanamziki alipigwa risasi hadharani hukohuko marekani kisa ushoga leo wanasaini sheria, ya kuwakubali,sembuse huku hata mawe hawapigwi ndo kwanza wanasasambua kanga moko na kiingilio kikubwa watu wanatoa?

Mkuu wako wapi hao, tia hata picha hapa tuwaone..
 
Mkuu wako wapi hao, tia hata picha hapa tuwaone..

Mkuu huwa sisogei karibu hayo maeneo kwani moyo huwa unaniuma kwani nina watoto nafkiria future,yao nilikuwa kwenye foleni buguruni pale saa 2 usiku kwenye kimlima pale kulikuwa kuna ngoma niliona kwa mbali ila nililia
 
Mtaani tabata mwaka mpya wa 2013 mapema tu naelekea kanisani watu wameanza kuuga mwaka kwa staili hyo hyo ya kusasambua huangalii mara 2 zaidi hata kupiga picha itakuwa ni kuwasaport nahic
 
Mkuu huwa sisogei karibu hayo maeneo kwani moyo huwa unaniuma kwani nina watoto nafkiria future,yao nilikuwa kwenye foleni buguruni pale saa 2 usiku kwenye kimlima pale kulikuwa kuna ngoma niliona kwa mbali ila nililia


Uliangalia vizuri kweli au ulichanganya na wale Malaya wa buguruni?
Manake buguruni kuna danguro za kienyeji..
 
ninachojua ushoga kwa mwanaume inatokana na mwili wake kuwa na hulka za kike mwendo sauti umbo umbea hips makalio itikadi zote za kike wanakuwa nazo japo ni wanaume mi niliwahi kusoma nae mmj o level na mwingn alikuwa kitaa tunachokaa
sio kweli
 
Walikuwa mchanganyiko walikuwa wanacheza baikoko wapo walioshuka kwenda kuona maana foleni haisogei,kuna dau la kuvua nguo ya juu,dau la kuvua nguo ya chini hadi ubaki na chu# # tu niliona kweli
 
Hebu nifahamisheni wanapooana Wanaume lengo ni kuzaa au huwa wanafanyaje kuridhishana kimapenzi? Duh aisee unbelievable
 
Hivi watu wenye jinsia mbili Tanzania wapo?..
 
Hivi watu wenye jinsia mbili Tanzania wapo?..

Wapo kuna mmoja alikuwa na jinsia mbili ni ndugu yangu kiume na kike alikuwa na chuchu ila upande wa kiume ndiyo uliokuwa na nguvu akaenda kutolewa upande wa kike
 
So long sio Jakaya Kikwete aliyetoa hayo matamko juu ya ukubali wa same sex marriage, waacheni wamarekani waishi watakavyo. Nimeangalia habari, hata hao wamarekani sio wote wanaosapoti ushoga, lakini hawana budi kukubali hiyo hali...at the end of the day, you've got to live and let live.

Hapa Tanzania hilo tatizo lipo, bahati mbaya sana sisi ni wanafiki, we are ok just because Kikwete hasn't officially announced publicly lakini tunao mashoga wengi, wanaofirana wengi, wanawake wanaliwa nyuma wengi....!
 
Wapo kuna mmoja alikuwa na jinsia mbili ni ndugu yangu kiume na kike alikuwa na chuchu ila upande wa kiume ndiyo uliokuwa na nguvu akaenda kutolewa upande wa kike

Alitolewa au alizibwa?..Nauliza tena hicho kububu kinakua vilevile kama cha KE wengine?
 
Nina uhakika wakazi wa maeneo ya pwani kwao ushoga siyo jambo geni sana.
 
Alitolewa au alizibwa?..Nauliza tena hicho kububu kinakua vilevile kama cha KE wengine?

Yupo kama mwanamke kwanzia ngozi yake ni laini hiyo moja ya ke walienda kuiziba na chuchu wakazitoa ila hana uwezo wa kufanya mapenzi ila jamaa anapenda mademu balaa!
 
Ushoga ni aibu naomba mungu kijana wako asikumbwe Na huo ugojwa ila je akishaupata unafanyaje ? Unamchinja!!! Hata hao tunaowasikia huko sio kwamba wanapenda hilo tatizo liwepo kwenye familia yao Bali hawana jinsi.swali kwan we we ungependa kumzaa motto kilema ? Je ikitokea unafanyaje? Basi jua hayo ni mapenzi ya mungu. Na wala tusifikiri kutoa maneno makali ndio kuzuia hata hao wazungu hawapendi ila ni basi tu hawana jinsi Na niaibu

Wewe acha kumkufuru MUNGU,yaani unafananisha Ushoga na Kilema!!!,halafu unadiriki kusema eti hayo ni mapenzi ya Mungu? Hapa lazima tukupe Vipande vyako, Ushoga ni kitu cha kupingwa kwa nguvu zote na kwa gharama zozote zile.
 
Ushoga unaanza na familia mpaka mtaa utaisha, hawa watu ni wa kupiga kiberiti kabisa la sivyo jiangalie familia yote inaweza ikaisha kabisa
 
Back
Top Bottom