Iwe uchawi au sio uchawi ila binafsi sioni umuhimu wake.
Hamna impact huko unakopita, hauachi athari chanya zaidi ya athari hasi tupu.
Uuzwaji holela wa pombe chafu, ngono zembe, umalaya, kamali haramu ndio vinakua vimejaa sehemu mwenge utalala.
Kuzindua miradi si inaweza kuzinduliwa hata na mkuu wa wilaya au mkoa.