Ushirikina mahospitalini

Mbona msemaji wa hospital anasema sio mhimbili tena akadai hawana ma ness wanaovaa kama hao wanaoonekana hapo
Sina hakika na hili ila aliyenitumia kasema muhimbili btw tungefahamu kama ni tukio la muhimbili
 
 
Nasikia Ndio huko wengine wanaua watu wao kishirikina kwa sababu Nyumbani watajulikana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…