MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,507
- 4,933
Nitashangaa sana mwanasimba yeyote atakayefurahia hata pale itakapotokea timu imetwaa ubingwa wa Ligi. Siku zote ukiitazama Yanga inavyocheza una enjoy anaona mpira halisi na hata wakichukua ubingwa unaona wamestahili!
Ila upande wa pili huko ukiangalia unaona kabisa ni ubingwa wa kulazimishia na kubebwa! Kwa kifupi HAUNOGI kabisa! Hakuna pira burudani huko!
Tujenge timu kwanza.
Ila upande wa pili huko ukiangalia unaona kabisa ni ubingwa wa kulazimishia na kubebwa! Kwa kifupi HAUNOGI kabisa! Hakuna pira burudani huko!
Tujenge timu kwanza.