- Thread starter
- #61
jamani ccm wasilaumiwe wamechoka miaka 53 sio mchezo...
ni mda wao sasa wapumzike wala sio kwa machafuko
Hakika wamechoka sana.
jamani ccm wasilaumiwe wamechoka miaka 53 sio mchezo...
ni mda wao sasa wapumzike wala sio kwa machafuko
Ngoja Nimuulize kamanda Thomas Nyahende kama kweli Mwita Mwikabe ndio mwenyekiti wa Kivule, pia aniambie kama huyu ndie alikuwa Raisi wa Daruso nilipokuwa mwaka wa kwanza 2005, kama ni kweli basi tuna under utilize resources, maana jamaa anauwezo mkubwa sana katika uongozi
Kwa kawaida kama u-kiongozi mzuri anzia hata ngazi ya chini watu wakiona uwezo wako utapanda tu.Hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Huwezi kuwa Manager mzuri kama haujawahi kuwa karani
Siwezi hangaika na punguani, naona hufahamu watu humu jamvini.
Hakika wamechoka sana.
Ni kweli siyo uongo barabara imerekebishwa,imechongwa tena.
Wewe humjui MM?yule MM ambaye hakutajwa ni nani? au ndo Msafiri Mtemelwa sijui?
Comments zako, hazifanani kabisa na İQ ya huyo uliyemweka kwenye hiyo Avatar yako.Chizi pekee ndiyo anaweza kuiamini hoja kama hii.
Waitara namheshimu sana na anaijua siasa pia ni shupavu saaana
nilipata hofu sana kwenye sakata la Zitto kuwa pengine ni MM3
Nimetembelea Kivule na kuhakikisha uchapa kazi wake.
Nakumbuka uchaguzi mdogo Tarime na pia alivyobadili mindset ya wakazi wa jiji la Mwanza akiwa na Zitto viwanja vya Sahara kabla ya 2010
long live comrade!
Kwahiyo unaamini hilo limefanywa na mwenyekiti wa mtaa aliyeapishwa wiki 2 zilizopita?
Kwamba hakukuwa na mipango yoyote kabla yake?
Muda wa ukarabati ulishafika tuWananchi wa Kata ya Kivule wamefurahishwa na ushindi wa Mwenyekiti wa Mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara kutokana na kuanza kutumikia wadhifa huo kwa kishindo kikubwa.
Ni wiki moja sasa kuna ukarabati mkubwa wa barabara za mitaa ya Kivule na ile itokayo Banana kwenda Kivule.
Taarifa zinasema mara baada ya kuapishwa Mwenyekiti wa mtaa huo Mwita Waitara alivamia ofisi za Manispaa kuelezea kero za wananchi wa Kivule kutokana na ubovu mkubwa wa barabara.Waitara alitaka kuona bajeti nzima ya miundombinu ya manispaa.
Kutokana na hali hiyo Waitara aliahidiwa ukarabati wa barabara hiyo na kesho yake ukarabati ukaanza.
Akikagua ukarabati huo Mwita Waitara aliwaeleza wananchi waliomzunguka kwamba hiyo ndiyo CHADEMA na kuwaambia kamwe hatalala huku wananchi wake wakitembea kwa miguu kwa ubovu wa barabara.
Diwani wa Kivule na mbunge wa Ukonga Eugene Mwaiposa wanatoka CCM lakini siku zote wamepuuza kilio cha wananchi kuhusu ubovu wa barabara.
Picha chini ni Mwenyekiti wa mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara
Comments zako, hazifanani kabisa na İQ ya huyo uliyemweka kwenye hiyo Avatar yako.
İQ yako na İQ ya huyo uliyemweka kwenye hiyo Avatar, tofauti yake inaweza kuwa sawasawa na umbali wa kutoka duniani hadi mbinguni!
Kwa hiyo mipango hiyo ilisubiri mpaka Waitara aende kumshika mashati Mkurugenzi?
Kwanini mipango hiyo haikutekelezwa miaka mitano iliyopita barabara ikiwa mahandaki matupu?
Waitara aliwaambia wakazi wa Kivule kwenye kampeni katika viwanja vya Mwembeni kuwa akichaguliwa kazi ya kwanza ni barabara na yuko radhi kumfungia mkurugenzi wa manispaa ofusini.
Amechaguliwa ndani ya wiki mbili barabara imekarabatiwa.Kwa hiyo wananchi wamwamini nani?
Muda wa ukarabati ulishafika tu
Kwahiyo unaamini hilo limefanywa na mwenyekiti wa mtaa aliyeapishwa wiki 2 zilizopita?
Kwamba hakukuwa na mipango yoyote kabla yake?
Tusi gani kinalojufaa? Jichagulie.