Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,553
Kuna watu walikuwa wanasema yeye ndio yule MM3.
MM3 ni Kitila
Kuna watu walikuwa wanasema yeye ndio yule MM3.
Ndugu Kayoka huyu Waitara hajawahi kuwa mbunge Tarime.Samahani wakuu!
Huyu Mwita Waitara ndo yule aliyekuwa mbunge wa Tarime baada ya kifo cha Chacha Wangwe na baadaye jimbo kwenda kwa Nyambari Nyangwine?
MM3 ni Kitila
Chizi pekee ndiyo anaweza kuiamini hoja kama hii.
trust me. Ni yeye.
Okay, may be ni sawa, lakini bado sioni tatizo mkuu Sangarara, muhimu anafanya anachoona anaweza kufanya kwa muda husika. Kwa sasa yupo kamili gado akiwahudumia wananchi wake kupata huduma na haki ya msingi kutoka kwa serikali yao
Chizi pekee ndiyo anaweza kuiamini hoja kama hii.
Hongera Waitara. ushindi wa CHADEMA maeneo mbalimbali nifursa kwa watanzania kuona tofauti wa uongozi wa CHADEMA na ccm
yupo binti anaitwa Sophia makamba anafit Ku replace Udiwani kivule
Hii sidhani kama itakuwa na ukweli, ngumu sana kukubali hili.
Wananchi wa Kata ya Kivule wamefurahishwa na ushindi wa Mwenyekiti wa Mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara kutokana na kuanza kutumikia wadhifa huo kwa kishindo kikubwa.
Ni wiki moja sasa kuna ukarabati mkubwa wa barabara za mitaa ya Kivule na ile itokayo Banana kwenda Kivule.
Taarifa zinasema mara baada ya kuapishwa Mwenyekiti wa mtaa huo Mwita Waitara alivamia ofisi za Manispaa kuelezea kero za wananchi wa Kivule kutokana na ubovu mkubwa wa barabara.Waitara alitaka kuona bajeti nzima ya miundombinu ya manispaa.
Kutokana na hali hiyo Waitara aliahidiwa ukarabati wa barabara hiyo na kesho yake ukarabati ukaanza.
Akikagua ukarabati huo Mwita Waitara aliwaeleza wananchi waliomzunguka kwamba hiyo ndiyo CHADEMA na kuwaambia kamwe hatalala huku wananchi wake wakitembea kwa miguu kwa ubovu wa barabara.
Diwani wa Kivule na mbunge wa Ukonga Eugene Mwaiposa wanatoka CCM lakini siku zote wamepuuza kilio cha wananchi kuhusu ubovu wa barabara.
Picha chini ni Mwenyekiti wa mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara
mbunge WA UKONGA CHACHA MWIKABE WAITARA
Waache hao maCCM yaendelee kuwekeana kiporo hadi kitakapochacha ndio watajua kuwa kiporo hakiliki tena baada ya kuchacha.Wananchi wa Kata ya Kivule wamefurahishwa na ushindi wa Mwenyekiti wa Mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara kutokana na kuanza kutumikia wadhifa huo kwa kishindo kikubwa.
Ni wiki moja sasa kuna ukarabati mkubwa wa barabara za mitaa ya Kivule na ile itokayo Banana kwenda Kivule.
Taarifa zinasema mara baada ya kuapishwa Mwenyekiti wa mtaa huo Mwita Waitara alivamia ofisi za Manispaa kuelezea kero za wananchi wa Kivule kutokana na ubovu mkubwa wa barabara.Waitara alitaka kuona bajeti nzima ya miundombinu ya manispaa.
Kutokana na hali hiyo Waitara aliahidiwa ukarabati wa barabara hiyo na kesho yake ukarabati ukaanza.
Akikagua ukarabati huo Mwita Waitara aliwaeleza wananchi waliomzunguka kwamba hiyo ndiyo CHADEMA na kuwaambia kamwe hatalala huku wananchi wake wakitembea kwa miguu kwa ubovu wa barabara.
Diwani wa Kivule na mbunge wa Ukonga Eugene Mwaiposa wanatoka CCM lakini siku zote wamepuuza kilio cha wananchi kuhusu ubovu wa barabara.
Picha chini ni Mwenyekiti wa mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara
Hili ni Jembe kama hautaki unaacha.
![]()