Ushindi wa CHADEMA Ukonga waleta neema

Ushindi wa CHADEMA Ukonga waleta neema

Ukibisha unabishia mazoea...ukweli CHADEMA kiboko yao hadi wakae 2015 hatufanyi makosa
 
trust me. Ni yeye.

Okay, may be ni sawa, lakini bado sioni tatizo mkuu Sangarara, muhimu anafanya anachoona anaweza kufanya kwa muda husika. Kwa sasa yupo kamili gado akiwahudumia wananchi wake kupata huduma na haki ya msingi kutoka kwa serikali yao
 
Last edited by a moderator:
Okay, may be ni sawa, lakini bado sioni tatizo mkuu Sangarara, muhimu anafanya anachoona anaweza kufanya kwa muda husika. Kwa sasa yupo kamili gado akiwahudumia wananchi wake kupata huduma na haki ya msingi kutoka kwa serikali yao

Hata mi sina naye shida, na ninamkubali ila huwa sipendi kusahau mambo ya nyuma.
 
yupo binti anaitwa Sophia makamba anafit Ku replace Udiwani kivule
 
Hongera Waitara. ushindi wa CHADEMA maeneo mbalimbali nifursa kwa watanzania kuona tofauti wa uongozi wa CHADEMA na ccm

Kila mtu sasa anaona faida ya kuchagua Chadema!
 
Wananchi wa Kata ya Kivule wamefurahishwa na ushindi wa Mwenyekiti wa Mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara kutokana na kuanza kutumikia wadhifa huo kwa kishindo kikubwa.

Ni wiki moja sasa kuna ukarabati mkubwa wa barabara za mitaa ya Kivule na ile itokayo Banana kwenda Kivule.

Taarifa zinasema mara baada ya kuapishwa Mwenyekiti wa mtaa huo Mwita Waitara alivamia ofisi za Manispaa kuelezea kero za wananchi wa Kivule kutokana na ubovu mkubwa wa barabara.Waitara alitaka kuona bajeti nzima ya miundombinu ya manispaa.

Kutokana na hali hiyo Waitara aliahidiwa ukarabati wa barabara hiyo na kesho yake ukarabati ukaanza.

Akikagua ukarabati huo Mwita Waitara aliwaeleza wananchi waliomzunguka kwamba hiyo ndiyo CHADEMA na kuwaambia kamwe hatalala huku wananchi wake wakitembea kwa miguu kwa ubovu wa barabara.

Diwani wa Kivule na mbunge wa Ukonga Eugene Mwaiposa wanatoka CCM lakini siku zote wamepuuza kilio cha wananchi kuhusu ubovu wa barabara.

Picha chini ni Mwenyekiti wa mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara


mbunge WA UKONGA CHACHA MWIKABE WAITARA
 
Wananchi wa Kata ya Kivule wamefurahishwa na ushindi wa Mwenyekiti wa Mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara kutokana na kuanza kutumikia wadhifa huo kwa kishindo kikubwa.

Ni wiki moja sasa kuna ukarabati mkubwa wa barabara za mitaa ya Kivule na ile itokayo Banana kwenda Kivule.

Taarifa zinasema mara baada ya kuapishwa Mwenyekiti wa mtaa huo Mwita Waitara alivamia ofisi za Manispaa kuelezea kero za wananchi wa Kivule kutokana na ubovu mkubwa wa barabara.Waitara alitaka kuona bajeti nzima ya miundombinu ya manispaa.

Kutokana na hali hiyo Waitara aliahidiwa ukarabati wa barabara hiyo na kesho yake ukarabati ukaanza.

Akikagua ukarabati huo Mwita Waitara aliwaeleza wananchi waliomzunguka kwamba hiyo ndiyo CHADEMA na kuwaambia kamwe hatalala huku wananchi wake wakitembea kwa miguu kwa ubovu wa barabara.

Diwani wa Kivule na mbunge wa Ukonga Eugene Mwaiposa wanatoka CCM lakini siku zote wamepuuza kilio cha wananchi kuhusu ubovu wa barabara.

Picha chini ni Mwenyekiti wa mtaa wa Kivule Mwita Mwikabe Waitara
Waache hao maCCM yaendelee kuwekeana kiporo hadi kitakapochacha ndio watajua kuwa kiporo hakiliki tena baada ya kuchacha.
 
Hili ni Jembe kama hautaki unaacha.

0037.jpg

Ana sura ya kijambazi.
 
Back
Top Bottom