Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,964
- 32,357
Umerudi tena?'wenzio wako wapi mbona wote mlitoweka ghafla??
Mie nipo Jamvini muda wote hakuna cha kunikimbiza Jamvini labda Ban.
Umerudi tena?'wenzio wako wapi mbona wote mlitoweka ghafla??
Alianza kama utani. Arumeru CDM ikishindwa viongozi wote wajiuzulu. Nikambishia kwamba CDM haitashinda, Kwa akili yangu nilijiuliza kura 19,000 zitanyan'ganywaje kutoka ccm? akasisitiza, mimi sikumuelewa.
Hatimaye CDM imeshinda na hakuna kiongozi atakayejiuzulu.
M.M.M aliona nini? alijuaje kwamba ni lazima CDM ishinde? alikuwa na uhakika gani mpaka akatoa msisitizo mkubwa hivyo?
M.M. Mwanakijiji nakukubali.
Kwa nini tusikuweke Ikulu utusaidie kuona mbali?
Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.
Alianza kama utani. Arumeru CDM ikishindwa viongozi wote wajiuzulu. Nikambishia kwamba CDM haitashinda, Kwa akili yangu nilijiuliza kura 19,000 zitanyan'ganywaje kutoka ccm? akasisitiza, mimi sikumuelewa.
Hatimaye CDM imeshinda na hakuna kiongozi atakayejiuzulu.
M.M.M aliona nini? alijuaje kwamba ni lazima CDM ishinde? alikuwa na uhakika gani mpaka akatoa msisitizo mkubwa hivyo?
M.M. Mwanakijiji nakukubali.
Kwa nini tusikuweke Ikulu utusaidie kuona mbali?
Mkuu, jiulize mwenyewe na tumia akili yako Mwanakijiji, aliyapataje matokeo ya Arumeru Mashariki na idadi ya kura wakati hayupo Tanzania!
Mie nakuambia hivyo sababu matokeo aliyotumiwa Mwanakijiji, walitumiwa watu wengi.
Oh boy! nyie naona hamnipendi... I just guessed. Anyone could do it even a caveman
Kwani Mwanakijiji hayupo Bongo? Mimi nilizaniaga ni Majjid Mjengwa jamani
Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.
Nakumbuka wewe ulibisha kwanza ... ulikuwa ukisubiri matokeo ya vijijini. Wataalam wakakuambia Arumeru hakuna vijiji na kama kuna vijiji basi vichache sana na huko kwenye vijiji ndiko walikoshikwa wale wazee wakipeleka kura 1000!
Nakiri mimi ni miongoni mwa walioamini CCM ingeshinda!. Hata ulipotoa tishio la viongozi wa Chadema kujiizulu wakishindwa, japo ulitoa na kila sababu za Chadema kushinda bado sikukuamini!. Ila ulipoutoa ule "waraka", nilikiri wazi kuwa matokeo yakiwa kinyume cha matarajio yangu, then it has something to do with "waraka"!.Oh boy! nyie naona hamnipendi... I just guessed. Anyone could do it even a caveman
Huo ndio ukweli Mkuu. Mimi nilikuwa Arusha kuna Radio inaitwa Sunrise ilikuwa inatangaza matokeo toka vituoni na hata vijana mitaani walikuwa na kalamu na karatasi wakawa wanafanya majumuisho. Pia walikuwa wakipiga simu kwa jamaa zao huko maeneo ya kupigia kura. Kufikia saa mbili kuna kijana alikuwa na sehemu kubwa sana ya matokeo na akatuambia kwamba CDM inaelekea kushinda kwa zaidi ya kura 6000.
Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.
Ukiondoa Mtwara, Lindi na Tabora, mahali kwingine kokote ukifanywa uchaguzi wa marudio na chadema wakadhibiti mianya ya wizi wa kura, basi kushindwa ccm haihitaji mtabiri. MMKJ aliliona hilo mapema.
Mkuu unataka kutuaminisha kwamba MMM amechukua nafasi ya Sheikh Yahya Ibn Hussein? Kwa kutangaza matokeo, MMM hakutabiri bali alitangaza matokeo ambayo siyo Rasmi.kaka wengi wape MMM ametisha,palipo na ukweli hatuna budi kuse,hongera sana brader! Hebu watabirie na 2015 who will be a Tanzanian presedent!VIVA CHADEMA!
kaka wengi wape MMM ametisha,palipo na ukweli hatuna budi kuse,hongera sana brader! Hebu watabirie na 2015 who will be a Tanzanian presedent!VIVA CHADEMA!