Umesahau na mkoa wa TangaUkiondoa Mtwara, Lindi na Tabora, mahali kwingine kokote ukifanywa uchaguzi wa marudio na chadema wakadhibiti mianya ya wizi wa kura, basi kushindwa ccm haihitaji mtabiri. MMKJ aliliona hilo mapema.
Umesahau na mkoa wa TangaUkiondoa Mtwara, Lindi na Tabora, mahali kwingine kokote ukifanywa uchaguzi wa marudio na chadema wakadhibiti mianya ya wizi wa kura, basi kushindwa ccm haihitaji mtabiri. MMKJ aliliona hilo mapema.
Ukiondoa Mtwara, Lindi na Tabora, mahali kwingine kokote ukifanywa uchaguzi wa marudio na chadema wakadhibiti mianya ya wizi wa kura, basi kushindwa ccm haihitaji mtabiri. MMKJ aliliona hilo mapema.
Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.
Mie nipo Jamvini muda wote hakuna cha kunikimbiza Jamvini labda Ban.
Na akatangaza matokeo kabla ya Tume na kabla ya vyama! Wakaja watu na hojaji za "source" na "mwongo"...akakaa kimyaaaaa!!!
Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.
Mwanakijiji, alikuwa anaangalia upepo unavyovuma kwenye uchaguzi wa Arumeru! watu wengi mbona walijua mapema tu kuwa Chadema wameshinda baada ya kufanya majumuisho ya kila kituo hakuna cha ajabu alichokifanya Mwanakijiji, alitumiwa matokeo na Chadema akaanzisha thread humu JF.
Oh boy! nyie naona hamnipendi... I just guessed. Anyone could do it even a caveman
Alianza kama utani. Arumeru CDM ikishindwa viongozi wote wajiuzulu.
Oh boy! nyie naona hamnipendi... I just guessed. Anyone could do it even a caveman
Nakiri mimi ni miongoni mwa walioamini CCM ingeshinda!. Hata ulipotoa tishio la viongozi wa Chadema kujiizulu wakishindwa, japo ulitoa na kila sababu za Chadema kushinda bado sikukuamini!. Ila ulipoutoa ule "waraka", nilikiri wazi kuwa matokeo yakiwa kinyume cha matarajio yangu, then it has something to do with "waraka"!.
Uchaguzi ni vita, ili kushinda vita, you don't need the brave fighters only, but the right strategies!. "waraka" was a stich in time!.
Sasa tusisubiri tena mpaka 2015, right strategies zianze sasa!.
Huna lolote, CALCULATOR ndo nimeshaingia jamvini, ntakuwa nawapa data za CCM mpk mchanganyikiwe wenyewe. Tatizo nyie CDM mmegeuza JF kama yenu. Subirieni uchaguzi mdogo wa madiwani ARUSHA mjionee wenyewe moto wa CCM. Tumejipanga, mtajibeba safari hii. Mwanakijiji ntakuuliza swali baada ya hukumu ya kesi ya LEMA kesho, nipime brain power yako..