Ushindi unakuja CHADEMA

Inspirational thread,I agree with you Guy.
 
CDM ilikua ni ile ya 2010 enzi za dr slaa, kwasasa hakuna chochote
Hiyo Tlaa mnamkumbuka kama ngome ya CDM,aliwahi kuwa CCM na sasa yupo CCM,Je huko alipo anagombea nafasi ya Magufuli?Kama alikuwa dira ya CDM,mbona mnaye huko CCM, Lowassa Naye mnaye miongoni mwenu,wanagombea nafasi gani?
Tuache kuwakatisha tamaa Watanzania wenzetu kwa hoja nyepesi.
 
Nadhani unaongea bila data,hivo hoja yako inakuwa mfu
nenda kwenye halmashauri zinazoongozwa na CHADEMA ndio utajua hili
 
Asante sana kiongozi
 
Sawa kamanda ushuzi
 
Mbowe ataondoka vp sasa wakati ndo mshika jembe pale?Lissu?! Siku yoyote anaweza hama akipewa dau la kutosha
Msikilize tu hoja zake utagundua hilo
 
Acheni drama za ulevi na kuchepuka ndio mtashinda
 
Tatizo ni mfumo sio mtu mmoja mmoja. Sisiem sera zake ni za zamani na mfumo wake ni ule ule. Watu wanapeana madaraka kwa kuangalia mtoto wa nani ndio maana tuna akina Nyerere, Kikwete, Makamba, Malecela, Mwinyi, Nnauye, haya majina ya zamani bado yapo kwenye chama na serikali. Na huwezi kutenganisha mfumo wa ccm na serikali ni watu walewale. Mnakosea sana watanzania kwa kuendelea kuendekeza ccm, wenzetu Kenya, n.k. walishaachana na vyama vya zamani. Kama kawaida Tanzania hufuata mkiani kwasababu watz wengi fikiria yao ni cholooo sana.
 
Bila Lowasa "rais wa mioyoni" mnapoteza muda wenu bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…