Givu ekzampul.Huku nakoishi kuna dalali wa kila kitu.
Givu ekzampul.
Twende tukakumbushie,Halaf Nitonye yuko wapi? najiskia kukumbushia kweli leo
Umeonae? Afu za tandale zinagusa mtu mmoja mmoja wakati za masaki zinagusa taifa zima, mbaya sana!usione watu wa masaki, roho ngumu kuliko za watu wa tandale, huku tandale tunatumia roba za mbao, masaki wanatumia kalamu, mabilioni ya EPA.
heheeh hapa patamu, yaani mzembe inabidi nichat na bukta tu. Si nilikwambia ngoma ya children haikeshiTwende tukakumbushie,
amepotea katika mazingira ya kutatanisha, atakuwa kapata jimama kama husninyo kila siku linamlowekea suruali na mkwara juu... Akija navunja ndoa.
Confirmed, na ukipata za bi kizee ambazo zina mvi mvi inakuwa double price. Hizi ndio biashara za ze finestukinyoa nywele ambazo sio za kichwani, zina soko na kuna madali wake spesho.
Naskia zinatumika kutengeneza mapambo ya kike.
Hahahaha! Nimeyaamini maneno yako lawyer.....heheeh hapa patamu, yaani mzembe inabidi nichat na bukta tu. Si nilikwambia ngoma ya children haikeshi
Hivi finest kawekwa kinyumba na jimama gani? Amepotea sana, simu hapokei, pm hajibu, nimejaribu kumtumia barua jana ndo nasubiria kama ataijibu..Confirmed, na ukipata za bi kizee ambazo zina mvi mvi inakuwa double price. Hizi ndio biashara za ze finest
Nawahi sehem sehem lakini in short ze finest amepata food poisoning baada kula maharage ya kiporo, amepigwa dripu ya lucozade na anategemewa kutolewa kesho kwa masharti.Hivi finest kawekwa kinyumba na jimama gani? Amepotea sana, simu hapokei, pm hajibu, nimejaribu kumtumia barua jana ndo nasubiria kama ataijibu..
Confirmed, na ukipata za bi kizee ambazo zina mvi mvi inakuwa double price. Hizi ndio biashara za ze finest
Wasalimie huko sehem, sehem.Nawahi sehem sehem lakini in short ze finest amepata food poisoning baada kula maharage ya kiporo, amepigwa dripu ya lucozade na anategemewa kutolewa kesho kwa masharti.
Hivi finest kawekwa kinyumba na jimama gani? Amepotea sana, simu hapokei, pm hajibu, nimejaribu kumtumia barua jana ndo nasubiria kama ataijibu..
Hahahaaaaa ni bango langu hilo....
Siku hizi kila kitu ni biashara....we hujajua tu hadi leo?