Ushawaii kufanyaa....

Ushawaii kufanyaa....

Dah!! Enzi zile nasoma Kibosho katika shule flani ambayo ipo karibu na umbwe tumepiga sana hii kitu mkuu ila mimi sijawahi kupiga pass maana mimi nilikuwa naoenda sana maji. hata kama kuwe na baridi kiasi gani ilikuwa ni lazima nioge vinginevy sitoki bwenini.

Samahani naomba kujuzwa kama shule yenu ilipata kusikika matukio yanayohusiana na "mahusiano ya kishoga"...
 
Kwetu tulikuwa tunapenda sana kuiba mahindi ya shule na machungwa....Lol
Kigomaaaaaaaaaaa
 
Boding skuli ndio mambo yote,mie nimeenda fom 1 hata cjielewi nipo nipo tu mpaka mama anaondoka nalia km nimefiwa but mpaka narudi likizo nishakomaa najua bajeti ya pesa hata nikiugua nagangamala sio kulia lia!nikaweza kufa mpaka blanket yan maisha yale ndio yalijengea ujasiri na kujifunza maisha halis ya kidunia!
 
Boding skuli ndio mambo yote,mie nimeenda fom 1 hata cjielewi nipo nipo tu mpaka mama anaondoka nalia km nimefiwa but mpaka narudi likizo nishakomaa najua bajeti ya pesa hata nikiugua nagangamala sio kulia lia!nikaweza kufa mpaka blanket yan maisha yale ndio yalijengea ujasiri na kujifunza maisha halis ya kidunia!
You've "summed it up!"

Ulisoma wapi boarding if you dont mind?
 
You've "summed it up!"

Ulisoma wapi boarding if you dont mind?

Nimesoma Narumu sec. shule ya masista iko moshi,jiran na lyamungo secondary!ilikua haina midterm ukingia mle januari ni mpaka may,ukingia july ni mpaka nov,ukifika getin unapekuliwa hata sukari huingii nayo,mavazi ni mwendo wa shamba drec lol!
 
Nimesoma Narumu sec. shule ya masista iko moshi,jiran na lyamungo secondary!ilikua haina midterm ukingia mle januari ni mpaka may,ukingia july ni mpaka nov,ukifika getin unapekuliwa hata sukari huingii nayo,mavazi ni mwendo wa shamba drec lol!

Dah.....kweli ni ujasiri! Mie sijui ningeishi siku ngapi kabla hawajanirudisha kwetu!!
 
Nimesoma Narumu sec. shule ya masista iko moshi,jiran na lyamungo secondary!ilikua haina midterm ukingia mle januari ni mpaka may,ukingia july ni mpaka nov,ukifika getin unapekuliwa hata sukari huingii nayo,mavazi ni mwendo wa shamba drec lol!
hahahhaa, umenikumbusha shamba dress, jamani mie nilienda boarding weruweru moshi kwa wale wanaoijua shule ya weruweru ni wazee wa kilimo kwanza siku ya kwanza nafika shule ijumaa jumamosi tukapelekwa shamba unapewa mstari wa kupalilia mahindi ukifika kati ujui umeanzia wapi na unaishia wapi.
nililia jamani mpaka basi unaenda shamba asubuh mpaka usiku nkaandika bonge la barua kwa baba kwa peni nyekundu kumweleza kwamba shule siiwezi kuna mateso sana kulima, kufyeka na kuchimba mitaro, kuzibua vyoo.
uku nje watu wakituona ni masista duu ila kazi tulizopitia ni balaa, sitaisahau weruweru.
 
Me nimesoma kolila, nilikua napitisha wiki bila kuoga. Afu kitu cha ugali wa donA..chaputa na magoli ya mkono kama maradonA
 
yaaa mkuu kunawalio kuwaa wanakobolewaa...na wengine waliazaa huo mchezo wa kubenuliwaa boarding skul.
Matukio yanayofanana na ya "kishoga na ushoga" yalikuwepo?
Naomba kujuzwa..
 
dah!!kolila ilikwa nomaaa...ufagio ni majani ya bangeee,umenikumbushaa CHAPUTA...si tulikuwaa tunaa semaa watakatifu kwetu mtoniii
Me nimesoma kolila, nilikua napitisha wiki bila kuoga. Afu kitu cha ugali wa donA..chaputa na magoli ya mkono kama maradonA
 
hahah shaurii ya kulimaa sister duh!!mkono kamaa anapasua mawee..boarding hakunaa usister du<demu anafuliaa mpaka anakunywaa ujii wa chumvii hana sabaunii anagongeaa hata mandazii
hahahhaa, umenikumbusha shamba dress, jamani mie nilienda boarding weruweru moshi kwa wale wanaoijua shule ya weruweru ni wazee wa kilimo kwanza siku ya kwanza nafika shule ijumaa jumamosi tukapelekwa shamba unapewa mstari wa kupalilia mahindi ukifika kati ujui umeanzia wapi na unaishia wapi.
nililia jamani mpaka basi unaenda shamba asubuh mpaka usiku nkaandika bonge la barua kwa baba kwa peni nyekundu kumweleza kwamba shule siiwezi kuna mateso sana kulima, kufyeka na kuchimba mitaro, kuzibua vyoo.
uku nje watu wakituona ni masista duu ila kazi tulizopitia ni balaa, sitaisahau weruweru.
 
big up...yanii ulikuwaa ukirudiii home,siku za kwanzaa kwanzaaa unapiganjee menyuuuu.
Boding skuli ndio mambo yote,mie nimeenda fom 1 hata cjielewi nipo nipo tu mpaka mama anaondoka nalia km nimefiwa but mpaka narudi likizo nishakomaa najua bajeti ya pesa hata nikiugua nagangamala sio kulia lia!nikaweza kufa mpaka blanket yan maisha yale ndio yalijengea ujasiri na kujifunza maisha halis ya kidunia!
 
hahah shaurii ya kulimaa sister duh!!mkono kamaa anapasua mawee..boarding hakunaa usister du<demu anafuliaa mpaka anakunywaa ujii wa chumvii hana sabaunii anagongeaa hata mandazii
kweli kabisa boarding akuna usister du, msosi ambao nilikuwa nakula uwezi amini kama ni msichana anapiga huo msoc.
 
demuuu anagombaniaaa ubwabwaaaa
kweli kabisa boarding akuna usister du, msosi ambao nilikuwa nakula uwezi amini kama ni msichana anapiga huo msoc.
 
Mambo yote ilikuwa ni kwenye msosi dining hall a.k.a DH
Wale wa mkwawa watamkumbuka Mr DH alikuwa anatinga na beseni DH ili awekewe msosi.....
 
dah mm nilisoma NYERERE MEMORIAL nikumbuka msos wa pale madem walikuwa hawauz kabisaaa Chama cha CHAPUTA enz hzo kilipamba moto kwl kwl
 
Back
Top Bottom