gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 293
Dah!! Enzi zile nasoma Kibosho katika shule flani ambayo ipo karibu na umbwe tumepiga sana hii kitu mkuu ila mimi sijawahi kupiga pass maana mimi nilikuwa naoenda sana maji. hata kama kuwe na baridi kiasi gani ilikuwa ni lazima nioge vinginevy sitoki bwenini.
Samahani naomba kujuzwa kama shule yenu ilipata kusikika matukio yanayohusiana na "mahusiano ya kishoga"...