Ushawaii kufanyaa....

Ushawaii kufanyaa....

acha tu nini ubwabwaaa, tulikuwa tunagombania utandu wa juu na ukoko wa chini ukitukuta tumeinamia sufuria tunakwangua ukoko utoamini. siku ya nyama ndo usiseme unakuwa na sahani tatu tofauti ili urudie upate nyama nyingi.

wewe unanikumbusha viranja tulivyokuwa tunajua kujipendelea na kitu inautwa "top layer" kwenye maharage
 
hahahhaa, umenikumbusha shamba dress, jamani mie nilienda boarding weruweru moshi kwa wale wanaoijua shule ya weruweru ni wazee wa kilimo kwanza siku ya kwanza nafika shule ijumaa jumamosi tukapelekwa shamba unapewa mstari wa kupalilia mahindi ukifika kati ujui umeanzia wapi na unaishia wapi.
nililia jamani mpaka basi unaenda shamba asubuh mpaka usiku nkaandika bonge la barua kwa baba kwa peni nyekundu kumweleza kwamba shule siiwezi kuna mateso sana kulima, kufyeka na kuchimba mitaro, kuzibua vyoo.
uku nje watu wakituona ni masista duu ila kazi tulizopitia ni balaa, sitaisahau weruweru.

Dah kumbe kuna weruweru product huku jamani ulikua kipindi gani cha mama sambaya au ,hekari 60 za shamba c mchezo
 
Nimesoma Narumu sec. shule ya masista iko moshi,jiran na lyamungo secondary!ilikua haina midterm ukingia mle januari ni mpaka may,ukingia july ni mpaka nov,ukifika getin unapekuliwa hata sukari huingii nayo,mavazi ni mwendo wa shamba drec lol!
Sie ndo wazee wa kili boys kama uliwahi kuisikia, miaka ya 1980s. Tukishuka moshi stendi wauza karanga wote wanasepa.
 
Hongera mwanakwetu! Mie kwa upande wangu wala hujakosea kabisa......by any means ningerudi home aisee! Nikiwa form 3 nilipelekwa boarding bana, weweeee ilikuwa ni full kulia usipime! Nikamuandikia mdingi barua wakaja kunichukua huyoo nikarudi home......nilikaa kwa wiki moja tu, yaani mpaka leo headmaster akiniona huwa ananikumbusha nilivyoliaga lol!!!

Hahahaha!unaonekana ulikua unadeka sn aiseee!mie nilikomaa mpaka nikazoea!
 
Nimesoma Narumu sec. shule ya masista iko moshi,jiran na lyamungo secondary!ilikua haina midterm ukingia mle januari ni mpaka may,ukingia july ni mpaka nov,ukifika getin unapekuliwa hata sukari huingii nayo,mavazi ni mwendo wa shamba drec lol!

kumbe umesoma Narumu? Msufix umewahi pafika?
 
Dah mie nimesoma kaengesa seminary ipo rukwa...tulipokuwa form two tulitesa sanaa form 1 aka njuka, mfollow,mnyama..hehehe sasa siku moja piga sanaa stiki form one hiyo inaitwa kata mkia huwa inafanyika trh tisa mwezi wa tisa saa tisa usiku....bwana wee ilizua tafrani maana kesi ilifika mpaka kwa mkuu wa shule.

Kesho yake tulipigwa vimbo kuanzia saa mbili usiku hadi saa nane usiku sitaisahau ile siku na ndo ukawa mwisho wa form two kutesa form one

Kisa kingine tulikuwa tunaenda kuiba mahingi usiku tunaita kukonka...mtu nane tumefunja gunia nzima la mahindi yanachomwa usiku kucha..tukakamatwa tukapigwa 45 kwata drill hahahaaa msemo huo alikuwa anaupenda padri kasomo aka ckeck norisi...jamaa anatoa adhabu mbaya..siku nzima tulipigwa kwata then tukalala wiki nzima tunaumwa viungo...

Kweli boarding nilikuwa mtundu sanaa ninavituko mia kidogo....
 
kweliii nyie ndo mlikuwaaa watemii...nakumbukaa kunakindi kili ilitakiwaa iwee na mademu mameni wakawaa wanawatokeaa wanafunziii wa kikee majumbani mwao na kuwachanaa na viwembee
Sie ndo wazee wa kili boys kama uliwahi kuisikia, miaka ya 1980s. Tukishuka moshi stendi wauza karanga wote wanasepa.
 
Back
Top Bottom