Ushawaii kufanyaa....

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
nakumbukaaa kipindi hichoo niko skull mojaaa ya boarding ikoo mwagaa juu[usangi}wanaiita shigapound[shinga tiriiiiiii],kulikuwaa kunabaridi sanaa asee...kimbembee ni kuogaa sasaaa,wazee tulikuwa tunapigaa paspotii sizee,unaoshaa kwapaaa,unajifutaa na sponjiii mwilini,unanawaa uso na kichwaa kwa sabuni,then ndo ntoleee siku mbili hiyo mzee..dah!!kwa walee waliosomaa bording skull wanakumbukaaa hii...NIPEE NA WEWE KITUKO CHA SKUL KWAKO
 
nakumbukaaa kipindi hichoo niko skull mojaaa ya boarding ikoo mwagaa juu[usangi}wanaiita shigapound[shinga tiriiiiiii],kulikuwaa kunabaridi sanaa asee...kimbembee ni kuogaa sasaaa,wazee tulikuwa tunapigaa paspotii sizee,unaoshaa kwapaaa,unajifutaa na sponjiii mwilini,unanawaa uso na kichwaa kwa sabuni,then ndo ntoleee siku mbili hiyo mzee..dah!!kwa walee waliosomaa bording skull wanakumbukaaa hii...NIPEE NA WEWE KITUKO CHA SKUL KWAKO
We did the same thing Same Secondary, especially kabla ya "debe" na hedaru, shigatini,sometimes tulikuwa tunawaalika wa huko Rombo.

Pale Same kulikuwa na shida ya maji kama unavyodai, passport ni bonge la "shower"!

Maji huwa yanatoka kwa ratiba na siku yakitoka ni almost kijiji kizima na wanafunzi tunagombea maji, kiboko yetu ilikuwa ni wafungwa, maana hao walikuwa wananuka vibaya mno, na hivyo inabidi umwachie nafasi mfungwa akinge maji kwanza,(wao nadhani hata passport walikuwa hawapigi), walikuwa wakichota maji ya kupika pamoja na ya maaskari, especially mabosi, nchi yetu bana!

Siku ya debe AKA disco, mtu ukipiga denda shule nzima inajuwa!lol

Duh!tumetoka mbali!
 
We did the same thing Same Secondary, especially kabla ya "debe" na hedaru, shigatini,sometimes tulikuwa tunawaalika wa huko Rombo.

Pale Same kulikuwa na shida ya maji kama unavyodai, passport ni bonge la "shower"!

Maji huwa yanatoka kwa ratiba na siku yakitoka ni almost kijiji kizima na wanafunzi tunagombea maji, kiboko yetu ilikuwa ni wafungwa, maana hao walikuwa wananuka vibaya mno, na hivyo inabidi umwachie nafasi mfungwa akinge maji kwanza,(wao nadhani hata passport walikuwa hawapigi), walikuwa wakichota maji ya kupika pamoja na ya maaskari, especially mabosi, nchi yetu bana!

Siku ya debe AKA disco, mtu ukipiga denda shule nzima inajuwa!lol

Duh!tumetoka mbali!
alafuuu kpindi cha zamaniiii same ilikuwa boys tu...kuna mti mmoja mkubwaa wa buyuuu kuelekea sijui macharangaaa...kulikuwaa wanavutaa majani sanaa paleee.mkuuu banaaa kitu dendaa lazimaa usiku bweninii ukaadisieee
 
Kihoja kilikuwa mazengo Form V. mafresher tumefika tukakuta mkate wa asubuhi unaitwa Ki-mkwizu. Jina lilitokana na mwalimu wa cahkula kuitwa mkwizu. Ukichelewa wanaku-trotisha ( maana yake hukuti kitu wenzako wanalambayote). mshkaji si kaenda kwa mwalmu wa chakula (Mkwizu). Mwalimu nina shida. (shida gani?) wameni- trotisha kimkwizu changu. (unasemaje) wameni- trotisha kimkwizu changu. (kimkwizu ni nini?) kipandea changu cha mkate. Usiombe. alikula bakora hatakaa asahau. pengine kama ni mwana JF atakumbuka na kufafanua zaidi.
 
Ditto,my bragats will stay with bishanga until wamalize high school.
babuu bishangaa boarding inafundishaa ujasiriii kama mtoto mlaini kilaa siku atakuwaaa anaibiwaa na kuonewaaa
 
babuu bishangaa boarding inafundishaa ujasiriii kama mtoto mlaini kilaa siku atakuwaaa anaibiwaa na kuonewaaa

Hiyo ni myth tu! Ujasiri ni asili ya mtu.

Mimi sijasoma kabisa boarding na mpaka leo sipendi kabisa hilo wazo la kusoma boarding lakini hakuna atakayesema mimi si mjasiri!
 
Kihoja kilikuwa mazengo Form V. mafresher tumefika tukakuta mkate wa asubuhi unaitwa Ki-mkwizu. Jina lilitokana na mwalimu wa cahkula kuitwa mkwizu. Ukichelewa wanaku-trotisha ( maana yake hukuti kitu wenzako wanalambayote). mshkaji si kaenda kwa mwalmu wa chakula (Mkwizu). Mwalimu nina shida. (shida gani?) wameni- trotisha kimkwizu changu. (unasemaje) wameni- trotisha kimkwizu changu. (kimkwizu ni nini?) kipandea changu cha mkate. Usiombe. alikula bakora hatakaa asahau. pengine kama ni mwana JF atakumbuka na kufafanua zaidi.
dah!!!man nimechekaaaa sanaaa aseee duh!!!
 
Hiyo ni myth tu! Ujasiri ni asili ya mtu.

Mimi sijasoma kabisa boarding na mpaka leo sipendi kabisa hilo wazo la kusoma boarding lakini hakuna atakayesema mimi si mjasiri!
nikwelii mkuu ilaa boarding skul nikamaaa jeshiniiii,kuamkaaa kwa kengeeleee,kulaaa kwa kengeleee kulala kwa kingeleeeee
 
nakumbukaaa kipindi hichoo niko skull mojaaa ya boarding ikoo mwagaa juu[usangi}wanaiita shigapound[shinga tiriiiiiii],kulikuwaa kunabaridi sanaa asee...kimbembee ni kuogaa sasaaa,wazee tulikuwa tunapigaa paspotii sizee,unaoshaa kwapaaa,unajifutaa na sponjiii mwilini,unanawaa uso na kichwaa kwa sabuni,then ndo ntoleee siku mbili hiyo mzee..dah!!kwa walee waliosomaa bording skull wanakumbukaaa hii...NIPEE NA WEWE KITUKO CHA SKUL KWAKO

Dah!! Enzi zile nasoma Kibosho katika shule flani ambayo ipo karibu na umbwe tumepiga sana hii kitu mkuu ila mimi sijawahi kupiga pass maana mimi nilikuwa naoenda sana maji. hata kama kuwe na baridi kiasi gani ilikuwa ni lazima nioge vinginevy sitoki bwenini.
 
Mkuu sema MLAMA sekondari.

Dah!! Enzi zile nasoma Kibosho katika shule flani ambayo ipo karibu na umbwe tumepiga sana hii kitu mkuu ila mimi sijawahi kupiga pass maana mimi nilikuwa naoenda sana maji. hata kama kuwe na baridi kiasi gani ilikuwa ni lazima nioge vinginevy sitoki bwenini.
 
Dah!! Enzi zile nasoma Kibosho katika shule flani ambayo ipo karibu na umbwe tumepiga sana hii kitu mkuu ila mimi sijawahi kupiga pass maana mimi nilikuwa naoenda sana maji. hata kama kuwe na baridi kiasi gani ilikuwa ni lazima nioge vinginevy sitoki bwenini.
basiii blazaaa we ulikuwaaa sharo flaniii au vipiii??ushawaiii kufungiaaaa ubwabwaaa kwenye trakaaaa,au kugongeaaa sabuniii,dawaa ya mswakii au mafutaaa.....
 
Boarding inafundisha life na namna ya kuishi na watu, no doubt on that.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya waliosoma boarding na wale wa days.

Mbali na kwamba maisha yalikuwa tough, bado nafagilia boarding kwa mwendo wa mbele, and i will do it over and over again.
 
basiii blazaaa we ulikuwaaa sharo flaniii au vipiii??ushawaiii kufungiaaaa ubwabwaaa kwenye trakaaaa,au kugongeaaa sabuniii,dawaa ya mswakii au mafutaaa.....
Duh!Blue band, kiwi, sukari, hivyo vilikuwa ni kama anasa!

Na wali ukipikwa lazima uliwe kama siku mbili hivi, either kuhifadhiwa kwenye "boza" ama "lumpa"

Maharagwe maji na wadudu, kuna wakati wakiweka mafuta ya mawese, ya njano kabisa, halafu watu wakawa wanawahi "lemba", ugali midonge kibao, siku kukipikwa nyama vurugu tupu!

Njuka walikuwa wakipata shida saana!Duh!
 
basiii blazaaa we ulikuwaaa sharo flaniii au vipiii??ushawaiii kufungiaaaa ubwabwaaa kwenye trakaaaa,au kugongeaaa sabuniii,dawaa ya mswakii au mafutaaa.....

Matukio yanayofanana na ya "kishoga na ushoga" yalikuwepo?
Naomba kujuzwa..
 
Back
Top Bottom