Stability
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 571
- 1,829
Baada ya kula nauli zangu sana, jana tumekutana nae mombasa karibia na g.mboto, nikamuambia ngoja nikununulie chips, akakubali na tukaenda kenye banda la chips, tulivyokaa nikaenda kwa mchoma chips.
Nikamwambia mpemba kuwa yule dada amesema umfungie chips kuku 3 , moja mpelekee pale ale na nyingine unipe mimi na yeye ndio atalipa, yule mpemba akamuuliza yule demu "DADA NIMFUNGIE BRO HAPA ?" Demu akajibu "NDIO"
Basi akafanya hivyo ilivyofika ya kufunga nikachukua nikamwambia ngoja nimpelekee mdogo wangu niliekujja nae asione namchomesha mahindi, nikamuaga mchoma akasema poa boss, nikaondoka.
Kilichobaki huko ni kimbembe, mbona alilipaaa baada ya kumtishia polisi.
Namba nika block
Nikamwambia mpemba kuwa yule dada amesema umfungie chips kuku 3 , moja mpelekee pale ale na nyingine unipe mimi na yeye ndio atalipa, yule mpemba akamuuliza yule demu "DADA NIMFUNGIE BRO HAPA ?" Demu akajibu "NDIO"
Basi akafanya hivyo ilivyofika ya kufunga nikachukua nikamwambia ngoja nimpelekee mdogo wangu niliekujja nae asione namchomesha mahindi, nikamuaga mchoma akasema poa boss, nikaondoka.
Kilichobaki huko ni kimbembe, mbona alilipaaa baada ya kumtishia polisi.
Namba nika block