CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #41
Kuchenji dukani/restaurant kaniacha garini na nilikuwa nimempa $200 takriban 320,000 za tz, hakurudi pamoja na kuwa nilishaweka my bags garini, alikuja mwingine na funguo akasema hamtambui huyo alonikimbia ikabidi nilipe upya. KUMBE WANAJUANA.....
duh,pole mkuu. vipi kama ndo ilikuwa balance iliyopo?