Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 2,563
- 7,321
Huyu alikuwa farasi mkubwa wa mbao wa kutengenezwa.
Alitengenezwa na jeshi la Ugiriki.
By then kulikuwa na vita baina ya Wagiriki na Troy.
So baada ya kupigana sana, mwisho wa siku Wagiriki wakatengeneza huyu farasi wa mbao.
Wakampeleka mpaka nje ya mji wa Troy halafu wao wakasepa.
Sasa watu wa Troy wakahisi hiyo ni zawadi kutoka kwa Wagiriki hasa baada ya kushinda vita.
Kumbe ndani ya farasi huyo kulikuwa na wanajeshi wa Kigiriki.
Wao wakamchukua na kumuingiza ndani ya mji.
Kilichotokea?
Wakati watu wa Troy usiku wamelala na mji umetulia, Wanajeshi wa kigiriki wakatoka na kukinukisha.
Trojan wakapigwa.
Vita vikaisha.
Duniani akili tu.
Alitengenezwa na jeshi la Ugiriki.
By then kulikuwa na vita baina ya Wagiriki na Troy.
So baada ya kupigana sana, mwisho wa siku Wagiriki wakatengeneza huyu farasi wa mbao.
Wakampeleka mpaka nje ya mji wa Troy halafu wao wakasepa.
Sasa watu wa Troy wakahisi hiyo ni zawadi kutoka kwa Wagiriki hasa baada ya kushinda vita.
Kumbe ndani ya farasi huyo kulikuwa na wanajeshi wa Kigiriki.
Wao wakamchukua na kumuingiza ndani ya mji.
Kilichotokea?
Wakati watu wa Troy usiku wamelala na mji umetulia, Wanajeshi wa kigiriki wakatoka na kukinukisha.
Trojan wakapigwa.
Vita vikaisha.
Duniani akili tu.