Ushawahi kuoa au kuolewa kimasihala??

Ushawahi kuoa au kuolewa kimasihala??

Enzi za chuo nilioa kama mara 3.... Mungu nisamehe....ghetto una unga mchele... vijidaga, kA TV, sub woofer, Kochi la mtu mbili na kitanda unaona maisha umeyapata !! Anyway ni moja ya experience za maisha
 
Tangu 2023 nimekimbia Nyumbani sijawahi kurudi kidogo niozeshwe ndoa ya mkeka alikua mtoto wa kiislamu mnyaturu huyo maji ya kunde mzuri haswaa..nilifumaniwa na mama yake niliomba sana msamaha asimpigie mume wake maana ni ustadhi
 
Mwaka 2023
Nilijikuta naoa Binti wa kikurya bila kutaraji mm nishatoka masomoni yeye alikua Bado anamiak miwili mbele yaan 2025 ndio amalize bwana. Wee kaja nagia mm nataka nitimkie zangu ndichi kucheki shekeli nihame town nimsubir amalize nimfuate kwao kaja nakusema Sasa bbaba unaonaje hapa ulipopanga nije kuishi mm wakt huo alikua akikaa hostel nikamwambia mm natoka mazingira haya ukimaliza nikufuate kwenu ,akaupiga mwingi kwa upande wakike Sasa baba si ukiwa unakuja mjini unakula chakula na unakula na kile kingine njkamixxiwa kichwan nikajaa mfumoni miez 11 nilikaa nae ndani yalionikuta hatr nitamilizia namwita KASIE MAHABA MATATAAAA
 
Dah.... Kuna pisi moja mwalimu wa shule moja Dar alikuwa hataki uhamisho akaniomba tufunge ndoa fake ili aweze pata cheti.... Nikaona siyo kesi....nikanunua suti yangu Safi...tukakutana kwa DC....baada ya kusaini tunatoka nje eti ananipa 40K namuuliza ya nini ananiambia Asante yangu. Nikamwambia aache ujinga...nikaita boda....yupo gheto sasa hivi anashindia uji wa chumvi na chips kavu hataki chakula cha aina yoyote 😎
 
Ndoa ya kwanza nilikua na kabint natoka nacho kunasiku kakanitafta usiku wa saanne akaniomba tuonane mwamba nkakubalii Ile kufika tukakaa sehem tukala kufika saa Tano akaniambia amefukuzwa kwao nimsaidie akalale kwangu mpaka atakaposamehewa wakati huo mimwenyewe nakaa kwetu 😂😂 chakushukuru nilikua namshkaji anageto akaniheshimisha yeye akaenda kwa masela wengine, tulitoboa wiki mbili ikabidi nikajitambulishe tuu sababu aliniambia imejulikana kua anakaa kwa mwanaume inshort tuliachana after two month baada yakujua nikasingle Maza 😂😂

Ndoa ya pili nilikutana na Binti mfanya biashara mkoa nilienda kutafta maisha akajipendekeza nikaenda kumliaa kwake uku mwanae wa darasa la tatu akiwa amelala pembeni anakodoa macho mama anavyotoa miguno na kutetemeka mwili mzima huku jasho jepesi likinitiririka. Baada ya usiku ulee nikirudi kwangu ila baada ya wiki tulitafta nyumba na kuishi pamoja tuliishi kwa amani wiki mbili tuu ila baada ya hapo nilipata kabint Cha form four chuchu saa sita mtoto bikraa nikimkonyeza tuu analowa ,hakika nlishindwa kua muaminifu nikaamua kumnyemelea siku tukitoka minatoroka job naenda kurusha roho na kabint Cha jirani hakika kalikua katamuu .

Inshort nilifumaniwa na aliamua kuondoka huku akinilaumu kwann namsaliti wakati amenipenda na kilakitu anagaramika yeye(kodi+chakula)
Sikua na jibu ila roho ilikua inafurahi kwa uhuru aliokua ananiachiaa😋😋

Mikasa ya Ndoa ya tatu na yanne nitawaletea ila sahivi nipo yatano apa nimeotea kamuajiriwa kapya Cha serikali ndio niponacho apa kameenda kuoga ili mambo ya gizani yanzee nitarejeaa🙏🙏
 
Ilikuwaje mpaka ikatokea ukaingia kwenye ndoa bila kukusudia.

Wana jei efu mkuye hapa mtuelezee kidogo😅😅😅😅
In areas of high illiteracy, sexual topics become primary conversations. It's not like they are keen to learn about Socio-economic status but they'd rather teach their sexual expertise.
 
Ilikuwaje mpaka ikatokea ukaingia kwenye ndoa bila kukusudia.

Wana jei efu mkuye hapa mtuelezee kidogo😅😅😅😅
Wewe pekee ndiyo umewahi olewa kama sii kuoa kimasihala.Kwenye mambo ya msingi hakuna masihala kama chukua chako mapema wanavyo fanya masihala kwenye mambo ya msingi!
 
Back
Top Bottom