Ushawahi kuoa au kuolewa kimasihala??

Ushawahi kuoa au kuolewa kimasihala??

Aikoooo🤣🤣🤣 definition ya kuoa /kuolewa imebadilika kwani? Hii kimasihala kama ya mkeka? Mmekutwa tu shwaaaa chai na maandazi yanapita.
 
Nilishaoa kimasihara baada ya kushiriki mahaba pori na binti wa kilokole tukafumaniwa na baba yake.

Baba yake binti alimkataa binti akisema si mtoto wake,na Mimi sikufanya ajizi nikamweka ndani.

Tunavyoongea huyu mke wangu ni mchungaji wa makanisa ya kipentekoste na yumo humu JF, siku moja nitawatajieni jina lake.

CC Mjusi Sharobalo.
 
Nilishaoa kimasihara baada ya kushiriki mahaba pori na binti wa kilokole tukafumaniwa na baba yake.

Baba yake binti alimkataa binti akisema si mtoto wake,na Mimi sikufanya ajizi nikamweka ndani.

Tunavyoongea huyu mke wangu ni mchungaji wa makanisa ya kipentekoste na yumo humu JF, siku moja nitawatajieni jina lake.

CC Mjusi Sharobalo.
Na walokole wanapenda mizagamuano ya vichakani mno .
 
Nilishaoa kimasihara baada ya kushiriki mahaba pori na binti wa kilokole tukafumaniwa na baba yake.

Baba yake binti alimkataa binti akisema si mtoto wake,na Mimi sikufanya ajizi nikamweka ndani.

Tunavyoongea huyu mke wangu ni mchungaji wa makanisa ya kipentekoste na yumo humu JF, siku moja nitawatajieni jina lake.

CC Mjusi Sharobalo.
Naam mkuu, huu uzi nimeuona na kuupita tangu mchana sijacoment upuuzi wala la heri, ninastori moja matata sana nilitaka kuiandika ndani ya huu uzi ila sema naona uvivu ndio maana nikauweka kipolo hadi muda huu.
 
Nilishaoa kimasihara baada ya kushiriki mahaba pori na binti wa kilokole tukafumaniwa na baba yake.

Baba yake binti alimkataa binti akisema si mtoto wake,na Mimi sikufanya ajizi nikamweka ndani.

Tunavyoongea huyu mke wangu ni mchungaji wa makanisa ya kipentekoste na yumo humu JF, siku moja nitawatajieni jina lake.

CC Mjusi Sharobalo.
Unanikumbusha penzi la binti mlokole, nimewahia kumuangushia uzi humu kule jukwaa la malavidavi.
 
Back
Top Bottom