Ushuhuda mzuri kumbe kweli mpo na ndio nyie ambao mtoa uzi anawaongelea.Ilikua mwaka Jana mwishoni mwishoni niko zangu kwenye starehe maeneo ya Arusha Heineken zakupendeza..kulikua na ziara ya Mh fulani hivi...nikaamua nikale bata hukooo USA River sikutaka kuonana na mtu yoyote ..
Nikawa na dereva na mwanangu flani ..ile naingia club Njeree naona jamaa anansanukia..we si fulani tumesoma Feza mwaka fulani..nilimnawa live! kata kata nikamchomloea tena in a harsh way..tulipo chill wenzangu wakanambia humjui yule..nikawaambia namfaham sana sema sikua na ratiba ya kuonana na mtu ndio maana tuko hapa!
Wakati tunatoka dereva alimfuata kumuomba radhi na akamthinitishia ndiye mm..
Sipendi kushobokewa hasa nikiwa kwenye moods zangu..unakutana na jitu linakenuaa weee salamu nusu saa..my brother huo muda sina!
Ukinivamia hovyo hovyo nakunawa tu! nshamkana mpaka dada yangu mahala na uso mkavu...hawa washkaj school mates ndio kabisaa..au najifanya sikukumbuki usinipotezee muda wangu ..
Huu ujinga unaoufanya ukiwa na nguvu zako jitahidi sana uuache kabla hujakumbwa na maradhi yoyote yale, hivi mkuu umeshawahi kwenda pale muhimbili japo jengo la moyo tu ukaona vile mgonjwa anahitaji hata mpita njia tu ampe faraja? Pale pesa sio kitu kbc aiseeeIlikua mwaka Jana mwishoni mwishoni niko zangu kwenye starehe maeneo ya Arusha Heineken zakupendeza..kulikua na ziara ya Mh fulani hivi...nikaamua nikale bata hukooo USA River sikutaka kuonana na mtu yoyote ..
Nikawa na dereva na mwanangu flani ..ile naingia club Njeree naona jamaa anansanukia..we si fulani tumesoma Feza mwaka fulani..nilimnawa live! kata kata nikamchomloea tena in a harsh way..tulipo chill wenzangu wakanambia humjui yule..nikawaambia namfaham sana sema sikua na ratiba ya kuonana na mtu ndio maana tuko hapa!
Wakati tunatoka dereva alimfuata kumuomba radhi na akamthinitishia ndiye mm..
Sipendi kushobokewa hasa nikiwa kwenye moods zangu..unakutana na jitu linakenuaa weee salamu nusu saa..my brother huo muda sina!
Ukinivamia hovyo hovyo nakunawa tu! nshamkana mpaka dada yangu mahala na uso mkavu...hawa washkaj school mates ndio kabisaa..au najifanya sikukumbuki usinipotezee muda wangu ..
Isee man you got some shits in your system!Ilikua mwaka Jana mwishoni mwishoni niko zangu kwenye starehe maeneo ya Arusha Heineken zakupendeza..kulikua na ziara ya Mh fulani hivi...nikaamua nikale bata hukooo USA River sikutaka kuonana na mtu yoyote ..
Nikawa na dereva na mwanangu flani ..ile naingia club Njeree naona jamaa anansanukia..we si fulani tumesoma Feza mwaka fulani..nilimnawa live! kata kata nikamchomloea tena in a harsh way..tulipo chill wenzangu wakanambia humjui yule..nikawaambia namfaham sana sema sikua na ratiba ya kuonana na mtu ndio maana tuko hapa!
Wakati tunatoka dereva alimfuata kumuomba radhi na akamthinitishia ndiye mm..
Sipendi kushobokewa hasa nikiwa kwenye moods zangu..unakutana na jitu linakenuaa weee salamu nusu saa..my brother huo muda sina!
Ukinivamia hovyo hovyo nakunawa tu! nshamkana mpaka dada yangu mahala na uso mkavu...hawa washkaj school mates ndio kabisaa..au najifanya sikukumbuki usinipotezee muda wangu ..
Sasa nadhani wewe ndo unaezungumziwa na mtoa madaIlikua mwaka Jana mwishoni mwishoni niko zangu kwenye starehe maeneo ya Arusha Heineken zakupendeza..kulikua na ziara ya Mh fulani hivi...nikaamua nikale bata hukooo USA River sikutaka kuonana na mtu yoyote ..
Nikawa na dereva na mwanangu flani ..ile naingia club Njeree naona jamaa anansanukia..we si fulani tumesoma Feza mwaka fulani..nilimnawa live! kata kata nikamchomloea tena in a harsh way..tulipo chill wenzangu wakanambia humjui yule..nikawaambia namfaham sana sema sikua na ratiba ya kuonana na mtu ndio maana tuko hapa!
Wakati tunatoka dereva alimfuata kumuomba radhi na akamthinitishia ndiye mm..
Sipendi kushobokewa hasa nikiwa kwenye moods zangu..unakutana na jitu linakenuaa weee salamu nusu saa..my brother huo muda sina!
Ukinivamia hovyo hovyo nakunawa tu! nshamkana mpaka dada yangu mahala na uso mkavu...hawa washkaj school mates ndio kabisaa..au najifanya sikukumbuki usinipotezee muda wangu ..
Tatizo sio pesa..ni moods..ila issue za muhimbili sidhani kama mfano wako ni valid ..kwani kusalimi na kumpa MTU faraja mwenye uhitaji vina uhusiano gani?Huu ujinga unaoufanya ukiwa na nguvu zako jitahidi sana uuache kabla hujakumbwa na maradhi yoyote yale, hivi mkuu umeshawahi kwenda pale muhimbili japo jengo la moyo tu ukaona vile mgonjwa anahitaji hata mpita njia tu ampe faraja? Pale pesa sio kitu kbc aiseee
Haha I know man!Isee man you got some shits in your system!
Huyu alijibu sawasawa na Mara nyingi hili hutokea maana kwa kusema tu anakufahamu yawezekana asitumike katika kukusaili au ikakuondolea favour yeyote .Kuna jamaa alikua anasoma Udom, alikua anakuja kwa kaka yake ambae amepanga nyumbani kwetu. Tunacheki movies, mpira na kutembea mtaani pamoja. Udom tulikuwa tunakula nae kwa wajasi ng'ox 2010's.
Ila siku moja nikamkuta katika shule flani hivi anafundisha, nilikua nimeenda kufanya usahili maana waliniita. Mkurugenzi alivyoona Udom, akasema tena mwenzio yuko hapa na akamwita, kisha akamuuliza;unamfahamu huyu? Niwenzio wa Udom. Jamaa bila hiana kasema hanijui.
Lakini jioni tunakutana kitaa ananiita jina langu na kuanza kumung'unya maneno yasiyoeleweka. Kiukweli huwa inaniuma hadi leo, usiombe kukanwa hadharani tena mbele ya macho yako mchana kweupe, utatamani kulia hutaweza, roho itakuuma sana sana sanaaa.
Anizungumzie ananijua?!!..nime confess tu kitu kilichotokea few weeks ago!Sasa nadhani wewe ndo unaezungumziwa na mtoa mada
Jifunze
Hii inaweza changia kweli...Ukiwa na Tabia ya Kushobokea Watu hayo yatakukuta tu.., Kataa Pepo wa Ushobokaji huyo!!!
Vibaya mkuu sasa si unamwambia tu mtawasiliana hata bdy uko busy kuliko kumkanaIlikua mwaka Jana mwishoni mwishoni niko zangu kwenye starehe maeneo ya Arusha Heineken zakupendeza..kulikua na ziara ya Mh fulani hivi...nikaamua nikale bata hukooo USA River sikutaka kuonana na mtu yoyote ..
Nikawa na dereva na mwanangu flani ..ile naingia club Njeree naona jamaa anansanukia..we si fulani tumesoma Feza mwaka fulani..nilimnawa live! kata kata nikamchomloea tena in a harsh way..tulipo chill wenzangu wakanambia humjui yule..nikawaambia namfaham sana sema sikua na ratiba ya kuonana na mtu ndio maana tuko hapa!
Wakati tunatoka dereva alimfuata kumuomba radhi na akamthinitishia ndiye mm..
Sipendi kushobokewa hasa nikiwa kwenye moods zangu..unakutana na jitu linakenuaa weee salamu nusu saa..my brother huo muda sina!
Ukinivamia hovyo hovyo nakunawa tu! nshamkana mpaka dada yangu mahala na uso mkavu...hawa washkaj school mates ndio kabisaa..au najifanya sikukumbuki usinipotezee muda wangu ..
Ushauri wa busara watu wengine duniani wanajiona wako peponiHuu ujinga unaoufanya ukiwa na nguvu zako jitahidi sana uuache kabla hujakumbwa na maradhi yoyote yale, hivi mkuu umeshawahi kwenda pale muhimbili japo jengo la moyo tu ukaona vile mgonjwa anahitaji hata mpita njia tu ampe faraja? Pale pesa sio kitu kbc aiseee
Mdingi aliwahi kuniambia 'mi sio baba ako' akaita security akawaambia mtoeni nje huyuHeri ya mwakampya wadau,nashukuru kujaaliwa mwaka mwingine wa uhai
Kwenye maisha kuna watu akipata mafanikio au hata akiwa kwenye level Fulani ya maisha anaweza kukukana mpaka ukashangaa.
KISA CHA KWELI
kuna jamaa tuliwahi kukaa kwa babu enzi hizo anasoma A level huko mwanza nikaja kukutana nae DSM aisee jamaa akasema hakumbuki kama amewahi kuwa mwanza [emoji41] [emoji23] [emoji23] ...nikamtajia mpaka nickname yake kasema hanijui nilichukulia easy kwa sababu jamaa ni mpenda sifa.
Umewahi kukanwa katika mazingira yoyote na mpenzi,ndugu au rafiki tushare jamani.Karibuni
Yan watu kama hao hua nahisi kichwani mambo hayajatulia ..yani mtu anajisahaulisha kabisa ?...uduwanziKabisa kuna jitu linajifanya eti halijawahi kukuona ...inakera