nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,285
- 3,253
Hahaha ndo mwanzo wa kufanya kila kitu kwa comparison....., bonge la headache teh...au sijui kapikiwa nini na mimi nianze ku marinate nyama...teh!
Hahaha ndo mwanzo wa kufanya kila kitu kwa comparison....., bonge la headache teh
KATIKA MICHANGO YOOTE HILI NDIO JIBU, HAYO MENGINE WALIYOCHANGIA NI NYONGEZA TU.Hiyo inatokea sana tu kwenye ndoa..Na moja ya sababu ya kuchokana ni kuwa na interest/hobbies tofauti...Mnajikuta hakuna intersection miongoni mwenu...Ukiwa na mwanamke ambaye mna vitu vingi vinaendana ni ngumu kumchoka
Mchepuko ndio dili ila usimtupe mkeo.Habari zenu,
Nakaribia miaka 35.Nipo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka nane(8) sasa.Nina watoto wawili.
Tatizo langu ni kuwa maisha ya ndoa yamekuwa very boring.
Hisia zangu kwa huyu mwanamke kama hazijafa basi ni kidogo sana.Yaani narudi home kwasababu ya mazoea and nothing else.She is a good wife and a good mother.
But feelings arent there anymore.Is this normal?Sina mchepuko na vile vile siwezi muacha labda anipe sababu ya kufanya hivyo naweza sema kwa hali niliyonayo naomba hata aniache yeye.
Pumba na Point zinaruhusiwa.
Karibuni.
Yaani wewe unajua maisha mamii,i slute yoy au vipi? ,yaani short and clear(SIDE CHICK) kabisa coz maisha mafupi sana my baby.Side chick
[emoji48]....baby ila mi sio side chickenYaani wewe unajua maisha mamii,i slute yoy au vipi? ,yaani short and clear(SIDE CHICK) kabisa coz maisha mafupi sana my baby.
Ok baby niambie unavyotaka na mimi nitatii.[emoji48]....baby ila mi sio side chicken
The Boss, umemaliza yaani hili ndio tatizo kubwa kwa wanawake wanalolifanyaga, yaani mwanaume unaboreka mbaya - wakati yeye ndo anaona amekuheshimu to the maximum.Hii story yako inafanana na ya Chris Rock...
mwisho alimuacha mkewe ingawa anakiri mkewe hana tatizo
just boredom tu kwenye ndoa.....
Wanaume huwa tunapenda challenges sana....zinatu excite
ndo maana tunakesha kutazama mpira
wanawake ni tofauti akishapata anachopata anatulia tu....
sasa unaweza kuta mkeo kwa kuwa anakupenda anakuwa mtiifu kupita kiasi
kila unachomwambia ni yes tu.....
kumbe anaku bore to death....
Sio, kweliHiyo ni tatizo la kuishi maisha ya ndoa kabla hamjaingia kwenye ndoa.