ushauri

ushauri

mshfid

Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
20
Reaction score
2
Wakubwa shikamoni,wadogo habari zenu, mimi ni kijana mweny umri wa miak 25, nipo chuo kikuu cha arusha, nilizaa na mtoto wa mchungaji huko dar nikiwa na jiandaa kujiunga chuo,na nilipokuja chuo nikampenda msichana mwingine toka moyon na mpaka sasa nipo nae na ni mjamzto na hali ya maisha ni ngum sana sasa na cna boom na cna ela ninachanganyikiwa cjui nifanyaje mambo ni magum naombeni ushaur ndugu zangu. Asanten
 
Uejiakia mwenyewe! Ulitakiwa kusoma ukaendekeza starehe ya dudu! Utajiju babu wee!

Mwaya kuwa mjasiria mali hapo chuo mona fursa ni nyingi sanaa!

1. Piga picha wenzio na kuwauzia
2.Uza vocha za simu
3.Uza stationery bwenini
4.Uza ma wigi ya kike na viatu anything!

Fursa zipo nyingi ndo uache usharo!
 
kwanini hukujipanga kabla ya kuchukua huo uamuzi wa kuwazalisha watoto wa watu?
Nalog off
 
Atakayekupa ushauri hapa atakuwa na akili kama zako.
 
Wakubwa shikamoni,wadogo habari zenu, mimi ni kijana mweny umri wa miak 25, nipo chuo kikuu cha arusha, nilizaa na mtoto wa mchungaji huko dar nikiwa na jiandaa kujiunga chuo,na nilipokuja chuo nikampenda msichana mwingine toka moyon na mpaka sasa nipo nae na ni mjamzto na hali ya maisha ni ngum sana sasa na cna boom na cna ela ninachanganyikiwa cjui nifanyaje mambo ni magum naombeni ushaur ndugu zangu. Asanten

Arusha condom nazo ni expensive sana? Ulipokuwa unapiga kavu kavu na huyo bint hukujua huna boom wala source ya income?
Tafuta mrembo mwingine wa kukuondolea stress.
 
sina cha kukushauri we ni mtu asiye jielewa
pole waambie wazazi wako wakusaidie
 
Hivi hata bei ya Condom unaijua kweli? maana unavyo jivisha mabom hayo duu,, khali ikiwa ngum sana Tafuta jimama lenye pesa zake,ukikosa tafuta Bw.......a na wewe
 
Kudadadeki!
Unamwira weye!
Ukichomeka tu imooooo! Afu ata ndom hukumbuki! Ama kweli soda ni tamu ikiwa kwenye chupa!
Hautaki kwenye glasi weye! Hongera!
...
Nachoweza kukushauri ni hivi:
Mimi nna mdogo wangu (wa kike) amehaingaika sana na kakosa mtoto! So kama vipi nikuonganishe naye ummimbishe! Hayo mengine tutajadili badae!
Uko tayari?
 
Mkuu Mashaxizo we noma,asante kwa kufanya nicheke sana usiku huu
 
Wakubwa shikamoni,wadogo habari zenu, mimi ni kijana mweny umri wa miak 25, nipo chuo kikuu cha arusha, nilizaa na mtoto wa mchungaji huko dar nikiwa na jiandaa kujiunga chuo,na nilipokuja chuo nikampenda msichana mwingine toka moyon na mpaka sasa nipo nae na ni mjamzto na hali ya maisha ni ngum sana sasa na cna boom na cna ela ninachanganyikiwa cjui nifanyaje mambo ni magum naombeni ushaur ndugu zangu. Asanten
Hapo kwenye red umenishangaza sana.Ina maana yule wa Dar ulimpenda toka wapi???Najua uko katika msongo wa mawazo,tulia kwanza,wewe siyo wa kwanza kuwa katika hali hiyo.
 
Atakayekupa ushauri hapa atakuwa na akili kama zako.

Hahaa, hii nimeipenda. Duh!
Jamaa analipia makosa yake, ndo misha yalivyo. Ukiyatenda yanakutenda hapahapa duniani.
 
Si ulitaka chai chai...
Iweje ulalamike unaunguaaa
Si ulipenda chaiiiii......
Najiimbia tu mie....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom