Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
Achana nae hakufai huyo ananifaa mimi,
safi sn! Mwache wenzio wajichukulie.
Achana nae hakufai huyo ananifaa mimi,
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, natarajia kumalieza elimu ya chuo kikuu mwaka huu mwezi wa saba. ninampenziambaye kwa kiasi fulan tunapendana, ambaye yeye kwa sasa anamika 25, kwa bahati nzuri tayari yuko kazin kwa miaka mitatu, ni mwalim wa shule ya msingi. ......tatizo langu mm ni nashindwa kuwa na maamuzuzi ya kumtamkia au kudhihilisha kuwa lazima nitamuoa au hapan ................ yeye anaumri sawa na mimi .................tayari yeye yuko kazin kwa mudaa wa miaka mitatu ...................mm bado ni nawategemea wazazi ....................tena ni mwanafunzi PENGINE NITAKUWA NIMEOA AU NIMEOLEWA
Hapo pa adam na eva kaka utakua umeingia chaka maana adam alichukua mda ndio mungu akaona amtafutie mtu wa kufanana nae wa kuweza kukaa nae waweze kuvitawala viumbe vyote vilivyopo ulimwenguni pia case ya mda siku moja ya sasa huwezi kufananisha na mda wa mungu kaka!kamata jiko hilo fasta tatizo liko wapi wewe adam na eva walipishana siku na sio miaka kamata goma hilo au tatizo ni kupendana kiasi nini..
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, natarajia kumalieza elimu ya chuo kikuu mwaka huu mwezi wa saba. ninampenziambaye kwa kiasi fulan tunapendana, ambaye yeye kwa sasa anamika 25, kwa bahati nzuri tayari yuko kazin kwa miaka mitatu, ni mwalim wa shule ya msingi. ......tatizo langu mm ni nashindwa kuwa na maamuzuzi ya kumtamkia au kudhihilisha kuwa lazima nitamuoa au hapan ................ yeye anaumri sawa na mimi .................tayari yeye yuko kazin kwa mudaa wa miaka mitatu ...................mm bado ni nawategemea wazazi ....................tena ni mwanafunzi PENGINE NITAKUWA NIMEOA AU NIMEOLEWA