Ushauri

Langu

Member
Nov 20, 2011
37
9
Jamani naumwa mafua ila na viungo vya mwili vyote nahisi maumivu na baridi,hivi yaweza kuwa mafua tu ndo sababu kila kiungo najisikia vibaya?
 
Jamani naumwa mafua ila na viungo vya mwili vyote nahisi maumivu na baridi,hivi yaweza kuwa mafua tu ndo sababu kila kiungo najisikia vibaya?

Uwezekano wa kuwa ni mafua tu ni mkubwa, kwa sababu baadhi ya mafua yanaleta homa kali, viungo na kichwa kuuma sana nk.
 
Back
Top Bottom