Langu Member Nov 20, 2011 37 9 Apr 13, 2012 #1 Jamani naumwa mafua ila na viungo vya mwili vyote nahisi maumivu na baridi,hivi yaweza kuwa mafua tu ndo sababu kila kiungo najisikia vibaya?
Jamani naumwa mafua ila na viungo vya mwili vyote nahisi maumivu na baridi,hivi yaweza kuwa mafua tu ndo sababu kila kiungo najisikia vibaya?
kamili JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,213 849 Apr 13, 2012 #2 Langu said: Jamani naumwa mafua ila na viungo vya mwili vyote nahisi maumivu na baridi,hivi yaweza kuwa mafua tu ndo sababu kila kiungo najisikia vibaya? Click to expand... Uwezekano wa kuwa ni mafua tu ni mkubwa, kwa sababu baadhi ya mafua yanaleta homa kali, viungo na kichwa kuuma sana nk.
Langu said: Jamani naumwa mafua ila na viungo vya mwili vyote nahisi maumivu na baridi,hivi yaweza kuwa mafua tu ndo sababu kila kiungo najisikia vibaya? Click to expand... Uwezekano wa kuwa ni mafua tu ni mkubwa, kwa sababu baadhi ya mafua yanaleta homa kali, viungo na kichwa kuuma sana nk.
E Eugeniafaith Member Apr 3, 2012 87 29 Apr 14, 2012 #3 yawezekana ni mafua tu,drinks a lot ,dawa ya maumivu na pata usingizi wa kutosha ni tiba nzuri