Ushauri;

Ushauri;

jofujulius09

Senior Member
Joined
Mar 9, 2017
Posts
105
Reaction score
50
Habar yenu wanajamvi mimi ni kijana mwenye elimu ya diploma. Nimemaliza shule ivi karibuni target yangu kubwa kuja kujiajili kwa cozi niliyosomemea kwaivo natafuta mtaji sasa jambo la msingi ni ivi;

Nina eneo kama nusu heka ivi lengo langu nianzishe mradi wa ufugaji na mimi ni mgeni kabisa katika hili sina taaluma yoyote ya ufugaji labda kufuga kuku wa nyumbani.
Kwaivo kitu cha msingi nilikuwa naomba ushauri ni mfugo gani kwa utawala huu nikifuga nitapata faida nyingi kuliko hasara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar yenu wanajamvi mimi ni kijana mwenye elimu ya diploma. Nimemaliza shule ivi karibuni target yangu kubwa kuja kujiajili kwa cozi niliyosomemea kwaivo natafuta mtaji sasa jambo la msingi ni ivi;

Nina eneo kama nusu heka ivi lengo langu nianzishe mradi wa ufugaji na mimi ni mgeni kabisa katika hili sina taaluma yoyote ya ufugaji labda kufuga kuku wa nyumbani.
Kwaivo kitu cha msingi nilikuwa naomba ushauri ni mfugo gani kwa utawala huu nikifuga nitapata faida nyingi kuliko hasara

Sent using Jamii Forums mobile app
Napmbeni msaada yafadhali!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar yenu wanajamvi mimi ni kijana mwenye elimu ya diploma. Nimemaliza shule ivi karibuni target yangu kubwa kuja kujiajili kwa cozi niliyosomemea kwaivo natafuta mtaji sasa jambo la msingi ni ivi;

Nina eneo kama nusu heka ivi lengo langu nianzishe mradi wa ufugaji na mimi ni mgeni kabisa katika hili sina taaluma yoyote ya ufugaji labda kufuga kuku wa nyumbani.
Kwaivo kitu cha msingi nilikuwa naomba ushauri ni mfugo gani kwa utawala huu nikifuga nitapata faida nyingi kuliko hasara

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inabidi ufanye kwanza research ndogo ili ujue eneo ulilopo ni aina gani ya mifugo inalipa, kama ni nyama ya kuku, kama ni mayai, kama ni kitimoto, au maziwa.

Baada ya kujua hayo ndio unaweza kuamua ufuge kipi, mtu anaweza kukushauri ufuge nguruwe kumbe huko biashara hiyo haitoki nk. Then ukishajua aina ya mifugo inakusaidia kukadilia na gharama zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu inabidi ufanye kwanza research ndogo ili ujue eneo ulilopo ni aina gani ya mifugo inalipa, kama ni nyama ya kuku, kama ni mayai, kama ni kitimoto, au maziwa.

Baada ya kujua hayo ndio unaweza kuamua ufuge kipi, mtu anaweza kukushauri ufuge nguruwe kumbe huko biashara hiyo haitoki nk. Then ukishajua aina ya mifugo inakusaidia kukadilia na gharama zake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nipo iringa kiongozi ufugaji wa kuku na maziwa huku kwetu wakawaida sana sababu nyumbani kwetu tushawahi fuga kuku wa nyama na mayai kiukweli upande wa soko ilikuwa ishu zana mara mayai yashuke bei afu chakula kiwe juu yan taabu. Na kuhusu maziwa sio sana pia.
Ila nguruwe watu wanakula hatare yani na huwa naona wauzaji sometimes wanatafuta nguruwe hatare sasa natska nifuge kisasa nafugaje msaada!!

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Mimi nipo iringa kiongozi ufugaji wa kuku na maziwa huku kwetu wakawaida sana sababu nyumbani kwetu tushawahi fuga kuku wa nyama na mayai kiukweli upande wa soko ilikuwa ishu zana mara mayai yashuke bei afu chakula kiwe juu yan taabu. Na kuhusu maziwa sio sana pia.
Ila nguruwe watu wanakula hatare yani na huwa naona wauzaji sometimes wanatafuta nguruwe hatare sasa natska nifuge kisasa nafugaje msaada!!

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Pole na baridi mkuu... nasikia inatouch kinouma miezi hii
 
Back
Top Bottom