Ushauri: Zitto Kabwe aongezewe ulinzi

aongezewe ulinzi na nani? kujilinda dhidi ya nani?
 
Wakija na vifaru je, mzizima 3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezi dhurika nje ya siasa toka Kwa wanaojulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWANZA ZITO AMESHASEMA YEYE NI MCHA WI NA NI MWANGA KWELI .SASA ULINZI WA NINI WAKATI YUPO FIT.MWACHE APAMBANE.KUNA KITU ANAKIKOSA ZITO NDIYO MAANA AMEATHIRIKA KUSAIKOLOJIA.AWAMU ILIYOTANGULIA ALITUMIA HILA NA VITISHO HIVYO KUINGIZWA KATIKA KAMATI AMBAPO ALIKUWA ANAVUNA MAPESA MENGI .AWAMU HII NGUMU HAKUNA PA KUSHIKA.ANAPATA HASIRA ,ANAVIMBA,ANAFURA LAKINI WAPI.JAMANI NDUGUZANGUNI MAGUFULI ANATISHA.ANATAKA PESA ZINUFAISHE NCHI .WEZI,WAHUJUMU NA MATAPELI WA KISIASA KAMA ZITTO WANAISHIWA DAMU.USHAURI WANGU KWA BWANA MDOGO ZITTO: KAMA HUWAWEZI UNGANA NAO.
 
hiyo single ilikuwa kwenye VHS (analogy)..... hizi deki siku hizi hazipo mtaani. jipangeni kidijitali.
 
yaani aunge mkono juhudi kwa kuhamia CCM au?
 
Kisheria matumizi yote ya hela za umma yanapaswa kuidhinishwa na bunge , Mtu anayepanga matumizi chumbani kwake haaminiki na wala hapaswi kuchekewa
 
Aongezewe ulinzi na nani na kwa sababu zipi? halafu wewe mwenyewe umeshindwa kujishauri,huo ushauri wako nani atausikiliza,kwa maana umekaa kinafiki.
 
Aongezewe ulinzi na nani na kwa sababu zipi? halafu wewe mwenyewe umeshindwa kujishauri,huo ushauri wako nani atausikiliza,kwa maana umekaa kinafiki.
ukisikia ng'weeee ujue tayari ! ujumbe umekufikia
 
Naunga mkono hoja kwani Zitto amekuwa ni mwiba mkubwa katika kupambana na hii serikali ya majizi, mafisadi na WAUAJI ambao wanaweza kabisa kupanga kuchukua uhai wa huyu mwenzetu katika upambanaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…