Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Status
Not open for further replies.

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,613
Bila kujali kwamba tuhuma za Ben Saanane na wengine ni kweli au sio kweli naona ni busara kwa Zitto now ajitoe CHADEMA na aunde chama chake ambacho yeye atakuwa mwenyekiti na ataweza kukusanya washabiki wake wote waliopo CCM na CHADEMA na kwingineko.

Sioni ni vipi Zitto anaweza kugombea urais kwa kupitia CHADEMA sio tu 2015 lakini mwaka wowote ule... CHADEMA will never be the party for him to vie for the presidency..hii now iko waazi mno.

Na Zitto lengo lake kuu ni kugombea urais...basi ni bora ajipange now.

Mimi naona this way it is better kwa kila mtu Zitto na CHADEMA pia.
 
Akomae tu hapo hapo kwani kwenye changamoto nyingi ndipo kwenye mafanikio kwani hapo kunakuwa na uzoefu wa ku-handle problem mbalimbali kwani hata akianzisha chama kingine ikitokea nako kuna mgogoro nako itakuaje maana itakuwa ni mtu wa kuhamahama
 
Bila kujali kwamba tuhuma za Ben Saanane na wengine ni kweli au sio kweli
naona ni busara kwa Zitto now ajitoe CHADEMA na aunde chama chake ambacho yeye atakuwa
mwenyekiti na ataweza kukusanya washabiki wake wote waliopo CCM na CHADEMA na kwingineko

Sioni ni vipi Zitto anaweza kugombea urais kwa kupitia CHADEMA sio tu 2015
lakini mwaka wowote ule.....CHADEMA will never be the party for him to vie for the presidency..
hii now iko waazi mno

Na Zitto lengo lake kuu ni kugombea urais...
basi ni bora ajipange now......

mimi naona this way it is better kwa kila mtu
Zitto na CHADEMA pia......


Yeye ni NDUMILA KUWILI hana WASHABIKI CCM wa kumfanya KUWA RAIS; SHABIKI wake MKUBWA CCM in RAIS wa NCHI na NIA yake ni Kwa KUIVURUGA CHADEMA...

ANGALIA AKIANZISHA CHAMA CHAKE UONE - WAPI atapata PESA na WASHABIKI... atakuwa AMEJIUA KISIASA...
SIASA za BONGO sio kama ZA KENYA... KURUKA RUKA na VYAMA kama CHURA
 
Kwani lazima kila anaejitoa kwenye chama chochote au kufukuzwa kuanzisha chama chake? Mnataka tuwe kama congo, vyama 450+.
 


Yeye ni NDUMILA KUWILI hana WASHABIKI CCM wa kumfanya KUWA RAIS; SHABIKI wake MKUBWA CCM in RAIS wa NCHI na NIA yake ni Kwa KUIVURUGA CHADEMA...

ANGALIA AKIANZISHA CHAMA CHAKE UONE - WAPI atapata PESA na WASHABIKI... atakuwa AMEJIUA KISIASA...
SIASA za BONGO sio kama ZA KENYA... KURUKA RUKA na VYAMA kama CHURA


So hutaki atoke na kuanzisha chama chake?
at the same time unaona anasaliti chadema?
 
Zitto siyo presidential material hata chembe.

Iwe tuhuma dhidi yake ni za kweli au la, a presidential material has to be above suspicion in many respects.

Sasa huyu kwenye ufisadi, tuhuma anazo. Kwenye undumilakuwili, tuhuma anazo. Kwenye usaliti, tuhuma anazo.

Na sasa hadi kwenye ushirikina, tuhuma anazo.

Where there is smoke there is fire. Zitto hafai kuwa rais.

He is too polarizing.
 
Pole zitto,mti wenye matunda mengi ndo unaopigwa mawe siku zoteee...Zitto usiwasikilize watu hawana nia njema juu yako wala hawana shukran kwa kazi uliyoifanya....,maana mengi ni ww zitto umetufanya tujue ila hawaoni haya...komaa hapo hapo CDM.
 
Bila kujali kwamba tuhuma za Ben Saanane na wengine ni kweli au sio kweli
naona ni busara kwa Zitto now ajitoe CHADEMA na aunde chama chake ambacho yeye atakuwa
mwenyekiti na ataweza kukusanya washabiki wake wote waliopo CCM na CHADEMA na kwingineko

Sioni ni vipi Zitto anaweza kugombea urais kwa kupitia CHADEMA sio tu 2015
lakini mwaka wowote ule.....CHADEMA will never be the party for him to vie for the presidency..
hii now iko waazi mno

Na Zitto lengo lake kuu ni kugombea urais...
basi ni bora ajipange now......

mimi naona this way it is better kwa kila mtu
Zitto na CHADEMA pia......
Mwisho, nasikia sikia sana habari za kuchinjana. Kuuana nk. Nasikia habari hizi kwa watu wale wale wa kikundi kile kile. Moja, natoka Kigoma. Nimeaga kwetu. Nitakufa kwa amri ya Mungu. Siogopi kufa. Iwapo kifo changu kitatokana na mkono wa mtu, sidhani kama kwa mtu huyo kama hata panya atabaki nyumbani kwao. Underline this.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Haya si maneno yangu,ni ya mh Zitto,anayetaka kuwa rais...Mungu tusaidie.
 
Zitto siyo presidential material hata chembe.

Iwe tuhuma dhidi yake ni za kweli au la, a presidential material has to be above suspicion in many respects.

Sasa huyu kwenye ufisadi, tuhuma anazo. Kwenye undumilakuwili, tuhuma anazo. Kwenye usaliti, tuhuma anazo.

Na sasa hadi kwenye ushirikina, tuhuma anazo.

Where there is smoke there is fire. Zitto hafai kuwa rais.

He is too polarizing.


Siko hapa kumuunga mkono
na utaona sijasema 'anafaa'
lakini kugombea urais ni haki yake ya kikatiba
sasa bora atoke huko Chadema afanye siasa where he will be more free
na Chadema watajipanga vizuri
 
Siko hapa kumuunga mkono
na utaona sijasema 'anafaa'
lakini kugombea urais ni haki yake ya kikatiba
sasa bora atoke huko Chadema afanye siasa where he will be more free
na Chadema watajipanga vizuri

Oh yeah...kama anatimiza vigezo vilivyowekwa na katiba ni haki yake kama ilivyo haki kwa Watanzania wengine.

Ila kwangu mimi nilishagasema hafai na bado nasema hafai.
 
Oh yeah...kama anatimiza vigezo vilivyowekwa na katiba ni haki yake kama ilivyo haki kwa Watanzania wengine.

Ila kwangu mimi nilishagasema hafai na bado nasema hafai.

Kwenye politics kufaa au sio kufaa sometimes
hakutazamwi

watu hutazama wafuasi wangapi unao
so kama yeye anaamini anaweza kugombea urais na kushinda
basi hawezi kushindwa kuanzisha chama na kikawa cha kitaifa
atajisaidia yeye na kuisaidia chadema pia
 
Nimekuwa na mashaka muda mrefu na ADC, ninahisi ana mpango wa kuhamia kule.
Ni muda sasa Kgm vuguvugu ya CDM imepungua, mwandiga kwenye kata yake ni bendera za ADC tu. Hivyo nafikiri Mazingira au ukipenda plan B amekuwa akiiandaa muda mrefu.
 
Kwenye politics kufaa au sio kufaa sometimes
hakutazamwi

watu hutazama wafuasi wangapi unao
so kama yeye anaamini anaweza kugombea urais na kushinda
basi hawezi kushindwa kuanzisha chama na kikawa cha kitaifa
atajisaidia yeye na kuisaidia chadema pia

Kwa maneno mengine ni kwamba, mimi kamwe siwezi kumpigia kura ya urais hata kama wengine watampigia.

Sasa watu wengine siyo mimi. Kama wao wanaona anafaa basi na wampigie kura kwani ndiyo demokrasia hiyo.

Ila kwangu kamwe hafai.
 
Pole zitto,mti wenye matunda mengi ndo unaopigwa mawe siku zoteee...Zitto usiwasikilize watu hawana nia njema juu yako wala hawana shukran kwa kazi uliyoifanya....,maana mengi ni ww zitto umetufanya tujue ila hawaoni haya...komaa hapo hapo CDM.
pole kwa lipi kamkana hamjui ben kumbe alikuwa anamshirikisha mpaka mkumbo ben aje akanushe huku akiwa alishamshirikisha hata viapo vyake vya kwa mganga wasivujishe siri za kundi lake la wasaliti huku akija jamii forums kutuongopea ben kamwanika na mamuye jinsi mchana chadema usiku ccm soma majibu ya ben uelewe hutampongeza utamshauri ache siasa za undumila kuwili
 
Nimekuwa na mashaka muda mrefu na ADC, ninahisi ana mpango wa kuhamia kule.
Ni muda sasa Kgm vuguvugu ya CDM imepungua, mwandiga kwenye kata yake ni bendera za ADC tu. Hivyo nafikiri Mazingira au ukipenda plan B amekuwa akiiandaa muda mrefu.

Afanye sasa
maana ameshaanza kulalamika 'mipango ya kumuua'
which is dangerous iwe kweli ai si kweli
 


Yeye ni NDUMILA KUWILI hana WASHABIKI CCM wa kumfanya KUWA RAIS; SHABIKI wake MKUBWA CCM in RAIS wa NCHI na NIA yake ni Kwa KUIVURUGA CHADEMA...

ANGALIA AKIANZISHA CHAMA CHAKE UONE - WAPI atapata PESA na WASHABIKI... atakuwa AMEJIUA KISIASA...
SIASA za BONGO sio kama ZA KENYA... KURUKA RUKA na VYAMA kama CHURA

Zitto ni mnafiki sana, ukweli kama kuhama chama kungekuwa hakuna madhara makubwa angeruhusiwa ahame au afukuzwe.

Lakini kutokana na ujinga wa Watanzania wengi ni afadhali abaki huko huko mpaka 2015 tuone kama atakuwa amejifunza.

Kijana mchinvi sana na mchonganishi.
 
Zitto kazoea vya kunyonga, vya kuchinja hawezi. Aanze mwanzo na mtu mwenyewe anataka kutawala vile vilivyo tayari, hana ubavu huo! Zitto ni kichwa ngumu,mbishi,jeuri, na alielewa sifa. Nakubali kuwa anauwezo mzuri wa kufikiri. Lakini uwezo bila nidhamu ni ushenzi tu Zitto.

Huyu anasikiliza ushauri wa waganga wake. Wakimwambia aanzishe, ataanzisha! La sivyo, wakimwambia abaki chadema, ndio hivyo pia!
 
Zitto siyo presidential material hata chembe.

Iwe tuhuma dhidi yake ni za kweli au la, a presidential material has to be above suspicion in many respects.

Sasa huyu kwenye ufisadi, tuhuma anazo. Kwenye undumilakuwili, tuhuma anazo. Kwenye usaliti, tuhuma anazo.

Na sasa hadi kwenye ushirikina, tuhuma anazo.

Where there is smoke there is fire. Zitto hafai kuwa rais.

He is too polarizing.

Unashangaa Ushirikina na mtu katoka kigoma?
huoni kasema 'ameaga' kwao?
huwahui watu wa kighoma kumbee?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom