ngungwangungwa
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 649
- 583
Dr. Ww ni kati ya watu wachache nnaowaheshimu sana hapa nchini.
Naamini toka moyoni kabisaa kuwa kile unachopigania ktk harakati zako ni mguso ulionao wa maisha yetu na vizazi vijavyo. Natapenda kukupa ushauri ambao pengine inaweza kukuwia vigumu kuuamua! Kutokana na hali halisi inayoendelea ktk Bunge LA katiba,ni dhahiri hakuna tena katiba mpya bali ni katiba ya ccm. Hakuna tena uwezekano wa upinzani kuleta mabadiliko yoyote ktk mambo yote yaliyoletwa na ccm.
Wabunge wetu wametusariti! Tuliwashauri wajitoe mapema lkn wakashindwa kuacha posho ya laki 3. Kwa maantiki hiyo,nakusihi UNG'ATUKE nafasi yako ya juu ya Chadema! Hii itakuongezea heshima kubwa miongoni mwa jamii. Baada ya bunge la katiba,ni vigumu sana kwa upinzani kuaminika kwa wananchi,naamini utapima kwa kuangalia uzito wa heshima yako na matokeo ya kura za Jana ktk kuamua namna kupiga kura.
Nawasilisha..!
Naamini toka moyoni kabisaa kuwa kile unachopigania ktk harakati zako ni mguso ulionao wa maisha yetu na vizazi vijavyo. Natapenda kukupa ushauri ambao pengine inaweza kukuwia vigumu kuuamua! Kutokana na hali halisi inayoendelea ktk Bunge LA katiba,ni dhahiri hakuna tena katiba mpya bali ni katiba ya ccm. Hakuna tena uwezekano wa upinzani kuleta mabadiliko yoyote ktk mambo yote yaliyoletwa na ccm.
Wabunge wetu wametusariti! Tuliwashauri wajitoe mapema lkn wakashindwa kuacha posho ya laki 3. Kwa maantiki hiyo,nakusihi UNG'ATUKE nafasi yako ya juu ya Chadema! Hii itakuongezea heshima kubwa miongoni mwa jamii. Baada ya bunge la katiba,ni vigumu sana kwa upinzani kuaminika kwa wananchi,naamini utapima kwa kuangalia uzito wa heshima yako na matokeo ya kura za Jana ktk kuamua namna kupiga kura.
Nawasilisha..!